Tanzania Tuitakayo
Na Ndugu. Godlisten Mwasha.
Mabadiliko ya kiuchumi, elimu, huduma za afya, na utawala ni nguzo muhimu kwa maendeleo endelevu ya taifa letu la Tanzania. Katika karne ya 21, ni muhimu kuzingatia jinsi tunavyoweza kuboresha sekta hizi ili kuleta mabadiliko chanya na ya kudumu...
𝙈𝙘𝙝𝙖𝙠𝙖𝙩𝙤 𝙬𝙖 𝙈𝙖𝙗𝙖𝙙𝙞𝙡𝙞𝙠𝙤 𝙮𝙖 𝙆𝙖𝙩𝙞𝙗𝙖 𝙏𝙖𝙣𝙯𝙖𝙣𝙞𝙖: 𝙆𝙪𝙚𝙡𝙚𝙠𝙚𝙖 𝙐𝙩𝙖𝙬𝙖𝙡𝙖 𝘽𝙤𝙧𝙖 𝙣𝙖 𝙐𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙞𝙠𝙖𝙟𝙞.
#StoriesOfChange2023
Na Godlisten E. Mwasha
Email:gmwasha9@gmail.com
Phone:0687495993.
Katiba ni msingi muhimu wa mfumo wa utawala wa nchi yoyote. Katiba hutoa mwongozo na kusimamia uendeshaji wa serikali, haki...
Ni lini tutakuwa na ustaarabu? Ni sasa ambapo kodi zimezidi na ni sasa ambapo maisha yanakuwa ghali huku serikali ikitukandamiza utafikiri wametupa ajira nchi nzima wao.
Na kama umeona vyema hapo juu nimeeleza kuwa sekta za umma zenyewe ndio zingepewa kipaumbele sio sekta binafsi wala...
Kilimo cha Bangi,kuweka tozo na kupunguza posho za watumishi wa Serikali katika kuongeza pato la Taifa mbadala wa tozo za simu, mafuta ya petroli, dizeli, mafuta ya taa, mafuta ya chakula na sukari.
Habari nawasalimu wadau na wana JF wote, nina imani mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila...
MAJANGA YA MOTO
Asalaam aleikyum, Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu kristo wadau wa JF, ahsanteni wadau, jukwaa na uongozi wa Jamii Forum nimeona nilete mjadala huu mbele yenu kwakuwa ndio tatizo kubwa linaloikumba hii nchi na kuleta madhara makubwa kimaendeleo, katika nyanja zote ikiwemo afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.