Mimi nineshaitupilia mbali line ya voda na kampun kwa ujumla hawamjali mteja kwangu ni kero sana wanataka kuchuma na sio kutusaidia hawana maana tena mpaka watakapojirekebisha viwango vya mitandao vipo juu sana gharama wewe unangoja nn kuhama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.