Recent content by Godfrey Mhilu

  1. G

    Kozi za chuo kwa aliyesoma PCB

    anaweza kabisa kupata civil engineering bora tu pamoja na masomo mengine(physics,chemistry na biology) awe amefaulu pia BAM
  2. G

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Habari, naomben email or phone ya Tosamaganga high school na pia ya iringa girls high school. Ahsanten sana
  3. G

    Kukataliwa kunauma

    Hukujikweza kweli kaka???
  4. G

    Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

    jamani naomben kujua vegezo vya kusomea afya maana nilimaliza kidato cha nne 2014 na mategemeo yangu ni kusoma sayansi (PCB) advance lakini nimechaguliwa HGL. So nijuze kama yawezekana kusoma afya na elimu yangu ya kidato cha nne nisiende kusoma HGL. Ahsanteni sana.
Back
Top Bottom