Jamani naomba mniwie radhi sana nilisahau kuandika kuwa kisemvule inapatikana mkoa gani, ipo maeneo ya mkoa wa Pwani.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Rejea kichwa cha habari hapo juu kiwanja kinauzwa maeneo ya Kisemvule karibia na maeneo ya sokoni, kina ukubwa wa ekari moja, Bei ni Milion 80 kwa mawasiano zaidi napatikana kwa namba:
0765301402
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.