kaka usizunguke sana subiri mwakani ufanye mtihani wa RPL ukifaulu unakwenda chuo moja kwa moja, mtihani huo upo kwa wale ambao hawana sifa but wamekaa kazini atleast miaka 3, ndio mtihani alioufanya Eric shigongo na sasa hivi ndo anaenda chuo so usikate tamaa brother , pambana wewe bado kijana...
Hongera kwa dogo, kwa ushauri wangu phamacy ipo vzr sana, kuna ajira maeneo mengi
1. Hospitalini
2. TFDA
3. private phamacy
4. viwandani
pia anaweza kujiajiri mwenyewe vzr tu na mwisho anaweza kutumia cheti chake kwa kuweka ktk duka la dawa la mtu mwingne na akapata hela bila ya kufanya kazi...
Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi ni vigezo gani vinatumika kufanya kozi hii G.P.A iwe 3.0 na nyingne iwe 3.5, ni chuo au kozi, maana kuna kozi naziona ktk chuo A ina G.P.A 3.5 , Ukienda chuo kingne unaiona ina 3.0 naomba msaada hii ikoje,mfano kuna kozi inaitwa Bsc science general...
Habari wana jamii forum, mimi naomba nitoe ushauri kwa wadogo zangu mliomaliza form six na mnatamani kujiunga na chuo kikuu. Maisha ya sasa yamebadilika usiende chuo kwa kutaka sifa unasoma degree tu, but angalia mbele kuna nini? Haswa sisi watoto wa wakulima.
Ushauri wangu ni inawezekana...
samahani kaka umesoma combination gani? maana kuna watu wantoaga fund za kusoma but kwa afya tu, ila pia kama ni sayans unaweza ukaenda ktk taasisi ambazo unaweza ukasomeshwa then ukafanya kwao kwa miaka kama mitano, ila nakutia moyo utapata na utasoma tu hiyo diploma usiogope just trusting God...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.