Recent content by godasm

  1. godasm

    DR Slaa aeleza sababu ya CHADEMA kususa

    Watu wote na hata International observers wameona kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi huu na hata walitahadharisha tume kuhusu kuchelewa kutoa matokeo, CHADEMA walichofanya ni njia nzuri kuonyesha kutoridhishwa na tume ya uchaguzi na hasa Katiba ya sasa na mapungufu yake mengi ambayo...
  2. godasm

    MwanaHALISI: Lowassa ashinikiza uwaziri

    It is high time leaders must declare their business interest against public before they take positions
  3. godasm

    GE2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Mbaya zaidi kama anaweza kufikia hatua kuweka demokrasia mezani na kuichezea atakavyo ni sawa na kutawala kinyume na matakwa ya watu utawala huo hauwezi kuwajibika kwa watu bali kwa waliouweka ambao ni mwanzo wa matabaka ni migawanyiko hatima yake ni uharibifu.
  4. godasm

    GE2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Nionavyo mimi anaimba kiswahili lakini anacheza kiingereza
Back
Top Bottom