Kwani shida ni nini hapo? Kama alama haziruhusu kufundisha chuo kikuu, kuna kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuwa mhadhiri. Fikiria kama kila mtu akitaka kuwa mhandisi, daktari, au professor, n.k. Je, nani atakuwa mama Ntilie, yaya, mwalimu, padri, mchungaji, dobi n.k? Hayo yatakuwa sio maisha...