Habarini...
Naomba kuuliza Kuna aliyemuona mhe Anjelina Mabula akila kiapo Jana.
Kama Kuna mwenye picha atume hapa..
Kama hakuapa Nini kimempata?
Goat 25
Habari zenu
Mimi Kama mwananchi wa kawaida kabisa naona jinsi gani, CHADEMA kwa Sasa wanachama wake mioyo yao imejaa chuki na roho ya kulipiza kisasi..hasa ukifatilia maoni yao huko tweeter na Huku JF.
Ndugu zangu ondoeni roho za chuki na visasi ili mjikite kwenye kunadi Sera za chama chenu...
Habari wanajamvi.
Wahenga kweli hawakukosea waliposema
Jina huakisi maisha na matendo ya mtu.
Rais wetu wa JMT mh Samia Suluhu Hassan..hakika jina lake linaakisi matendo yake hasa kwenye suluhu
Haya ni baadhi ya Mambo yaliyopata SULUHU baada ya mwenye jina Hilo kuongoza nchi yetu
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.