Recent content by GOAT25

  1. GOAT25

    Tunamuimba Rais kila kona, Je, yupo kwenye mioyo ya Watanzania Au mtaamua kufumba macho?

    Mama yupo moyoni mwangu Na akigombea 2025 kura yangu anayo...
  2. GOAT25

    Agenda kuu ya uchumi ya Rais Samia ni ipi? Royal Tour?

    Great thinker[emoji109]
  3. GOAT25

    Ikulu, Dodoma: Rais Samia awaapisha Viongozi Wateule - Januari 10, 2022

    Habarini... Naomba kuuliza Kuna aliyemuona mhe Anjelina Mabula akila kiapo Jana. Kama Kuna mwenye picha atume hapa.. Kama hakuapa Nini kimempata? Goat 25
  4. GOAT25

    Askofu Gwajima kufanya mkutano na wanahabari leo, Januari 6, 2022

    Haha gwajiboy kesho naye Ana Jambo lake muda ni uleule wa saa 5 Tunasubiri ngoma inogile [emoji91][emoji91]
  5. GOAT25

    Rais mlalamikaji: Je, ni udhaifu?

    Acha mfumo dume Samia chapa kazi!
  6. GOAT25

    Rais Samia kushinda uchaguzi ujao kwa Asilimia 86% kihalali Uchaguzi ujao 2025

    Kazi iendelee tukutane 2025 Samia mitano Tena....
  7. GOAT25

    Naona chuki na visasi vikitawala CHADEMA wakipewa nafasi ya kuongoza nchi

    Habari zenu Mimi Kama mwananchi wa kawaida kabisa naona jinsi gani, CHADEMA kwa Sasa wanachama wake mioyo yao imejaa chuki na roho ya kulipiza kisasi..hasa ukifatilia maoni yao huko tweeter na Huku JF. Ndugu zangu ondoeni roho za chuki na visasi ili mjikite kwenye kunadi Sera za chama chenu...
  8. GOAT25

    Jina Suluhu linaakisi uongozi wa Rais Samia Suluhu

    Uliza mahakama...kesi bado inaendelea
  9. GOAT25

    Jina Suluhu linaakisi uongozi wa Rais Samia Suluhu

    Habari wanajamvi. Wahenga kweli hawakukosea waliposema Jina huakisi maisha na matendo ya mtu. Rais wetu wa JMT mh Samia Suluhu Hassan..hakika jina lake linaakisi matendo yake hasa kwenye suluhu Haya ni baadhi ya Mambo yaliyopata SULUHU baada ya mwenye jina Hilo kuongoza nchi yetu 1...
Back
Top Bottom