Mbona unatumia nguvu nyingi sana kupinga hili, kuna kipindi Kamwelwe alikuwa waziri alifanya kikao na waziri wa ujenzi wa Congo kuhusu Bandari ya kasanga kuwa kinachofanyika ni kutengeneza miundo mbinu ya upande wa Congo ili mizigo ipitie Kasanga, unataka kunambia Kamwelwe alikuwa ana udanganya...
Hii bandari tungekuwa na viongozi wanao ona mbali ilikuwa iwe bonge ya fulsa, maroli yanayopita Tunduma kwenda Congo yangeshusha mzigo Kasanga, ni ufinyu wa mawazo ya viongozi wetu hasa wa Mkoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.