Kwa kawaida ili kosa lisitendeke polisi anatakiwa kuwa sehemu ya wazi ili aweze kuonekana,lakini mimi nashangazwa na baadhi ya polisi wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Pwani huwa mara nyingi wanajificha kwenye mabango yaliyoko pembeni mwa barabara mita chache kutoka TAMCO akiona gari...
Mimi binafsi nimeguswa sana na mkakati mpya ambao utatumika na jeshi la polisi ambapo kuanzia sasa makamanda wa polisi mikoa hawatatumia magari waliyopewa kuwapeleka kazini na kuwarudisha nyumbani,bali pia yatatumika kuwapeleka hao rpc's mitaani kusikiliza kero mbali mbali zinazohusiana na...
Hizo namba zinatumika kwa baadhi ya magari yanayotumiwa na makachero (detectives) ili wahalifu wasiweze kuwagundua,hii huwasaidia kupata kiurahisi taarifa muhimu kuhusu wahalifu na pia wanaweza kuweka mtego kwa ajili ya kukamata criminals bila ya kujulikana.wanaweza kutumia namba zozote pasipo...
Haingii akilini kama faru anawekewa ulinzi wa hali ya juu kiasi hicho mpaka kufungwa chombo cha kummoniter na askari anaeingia lindoni mpaka ahakikishe faru wote wapo ndipo asaini kitabu.Sasa inakuwaje faru anauliwa kirahisi hivyo kama sio njama za askari wenyewe?
Kila kitu kina utaratibu wake na sio kukurupuka tu,aliyekuambia amegoma kutangaza baraza lake la mawaziri ni nani? au unatafuta habari?.Kuwa na subira utawajua.
Mbona lango la departures linafahamika?
Kwani wewe umebeba zigo gani linalokufanya ubabaike? hata kama ni first time kusafiri nje ya nchi mbona kuna utaratibu unaotolewa kwa abiria wanaosafiri kupitia vipaza sauti vilivyopo hapo airport au kwanini usiwaulize wahudumu wa hapo uwanjani? hayo...
Gomba linasagwa hadi taya zinalegea,na mtaa maarufu kwa biashara hiyo ni ule mtaa wa msikiti mkuu ukipita hapo utaona viroba vya mirungi kwa asiyejua anaweza kufikiri ni viroba vya mchicha!! Utasikia chalii angu au jombaa njoo tusage gomba! Mambo ya A-town hayo!!! je hii biashara ya gomba...
Kweli kinywaji kinaweza kuwa sababu ya kupelekea mtu kumpiga mwenzake kisu? Mimi nadhani sababu inaweza kuwa wivu wa kimapenzi kwa hawa dada zetu wanaotuhudumia vinywaji (BARMAIDS).Bw Godi pamoja na kumiliki bar aliona anaingiliwa kwenye anga zake akaamua kukita kisu kwenye shingo ya jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.