Recent content by glory to yhwh

  1. G

    Nipeni ushauri kutokana na uzoefu wenu katika ujenzi

    Tukiassume nyumba itakamilika kwa 50m Kwa hiyo ina maana atahitaji 8 yrs kuimaliza Basi sio maamuzi mazuri kwa sasa
  2. G

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Mkuu labda ungetoa ushauri pia Mtu akiweza kupata hiyo buku 5 kila siku labda ni boda boda, unamshauri afanyeje?
  3. G

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Hii inabidi uanze mara baada ya kuajiriwa na tena uwe na financial mentor (wa bure lkn[emoji3]) unayemsikiliza na kumheshimu hasa Otherwise ile mihemuko ya kuanza kushika hela yako mwenyewe utataka ujaribu kila kitu, uwe kila mahali, ununue kila unachokifikiria kichwani hata kama hukihitaji...
  4. G

    Leo nimeenda ofisi za UTT, naona Watanzania wameanza kuelewa hii kitu

    Kumbuka hapa tunaongelea long term plans Mambo vya miaka mitano au kumi huko mbele Muajiriwa hiyo 10m au 20m anakuwa ameipata wapi in lumpsum apart from mkopo au kusevu kidogo kidogo Na akishaipata anaweza akafanya biashara zipi akiwa kazini kwa watu huko UTT ndo pa kuhifadhia sasa ili...
  5. G

    Kama ni muajiriwa, fanya hizi biashara

    1. Ila hakikisha unamtuma kijana wako huko field Hela bana, sijui waga ina nini 2. Hifadhi ghala reliable au mashineni, afanye utafiti
  6. G

    Kama ni muajiriwa, fanya hizi biashara

    Ila haitakaa muda mrefu, unless uniambie mpunga umepatikana mwingi this time
  7. G

    Kama ni muajiriwa, fanya hizi biashara

    Well, You might be right Lakini walau wamekuwa consistent Mfuko ulianzishwa mwaka 2007, kipindi hicho sijui rais nani huko, bado miaka mitatu utimize 20 yrs Naona kama hii serikali wanaiheshimu
  8. G

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    Yan ulipwe 400k bado uongeze neno standard kwenye nyumba na self Hichi kipindi unatafuta pa kujisitiri tu wakati unafocus malengo ya mbele zaidi, ambayo kama kila kitu kimeenda sawa, na ukafanikiwa kwenye ujasiriamali utaadjust accordingly Kwa ajili ya kujifunza, mshahara ukianzia sh ngapi...
  9. G

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Mlioweka hela utt mlivomshambulia jamaaa sasa[emoji3] Ukiweza kutofautisha hivi vi4 utagundua kila mtu anakuwa amefanya best decision kwake 1. Business vs investment 2. Active vs passive 3. Mtu mwenye muda na nafasi ya kuwa active kwenye biashara vs asiye na muda kabisa, probably kaajiriwa
  10. G

    Leo nimeenda ofisi za UTT, naona Watanzania wameanza kuelewa hii kitu

    Aisee! Basi mi siku zote nawatumiaga mawakala wao, crdb So leo ndo mara ya kwanza kufika ofisi zao direct Wana customer care hao
  11. G

    Leo nimeenda ofisi za UTT, naona Watanzania wameanza kuelewa hii kitu

    Hii ni private au kuna mkono wa serikali kama ilivo utt?
  12. G

    Leo nimeenda ofisi za UTT, naona Watanzania wameanza kuelewa hii kitu

    Mixer Kuna wanaojiunga, withdrawal Yan kila mtu alikuwa fomu mkononi[emoji3]
  13. G

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    You are financially matured
Back
Top Bottom