Mi naamini Mungu Muumba wa mbingu na nchi amemwifadhi huko awe salama, Njia za Mungu zipo juu sana adui anamlinda kwa kusudi lake Mungu wao wanadhani wanamkomoa. Mwombeeni tu na kumshukuru Mungu
Unajua kiongozi anapotoa statement kwa umma anatakiwa kuitoa kwa umakini sana bila kuleta mitazamo hasi. Mfano kauli yamkini ilikusuduia kuleta hali ya utulivu na kubadili upepo fulani. Lakini ukiichambua kwa umakini na kuihusianisha na yanayo endelea kwenye the Republic of ...inakuwa...
Inatakiwa iondolewe hapa ni ya uzushi nashangaa wahusika kuirusu hapa wakati ukiingalia tu unaona ni uzushi na uchochezi, na kuficha kilichonyuma ya Ubinafsishaji wa Bandari zote nchini kwa Kampuni moja yaani DP World.
Habakuki 1; 2 Ee Bwana, nilie hata lini, wewe usitake kusikia? Nakulilia kwa sababu ya udhalimu, ila hutaki kuokoa. 3 Mbona wanionyesha uovu, na kunitazamisha ukaidi? Maana uharibifu na udhalimu u mbele yangu; kuna ugomvi, na mashindano yatokea. 4 Kwa sababu hiyo sheria imelegea, wala hukumu...
Kwa mtu anayejua spiritual realm utagundua kuwa hakuna kitu kinazaliwa pasipo uchungu. Kama ni Mkristo ukiona unapita kwenye moto na mateso ni sauti ya Mungu kukuambia omba ili niintervine. ndo maana alipoona kanisa haliombi aliamua na wao wapigwe au kuuawa ili kuwalazimisha waombe maana MUNGU...
Habari wana jamvi, mi natafakari hii statement ukiitafakari kwa kina na kwa jicho lingine mi naona ni Mpango wa Deep State wakisaidiana na ACT WAZALENDO kuendelea kuteka public attention na ili pia kujustify kwamba na wawo pia wanakuwa threatened na Serikali. Mi nimetafakari hivi kweli Wagombea...
Ndiyo anaweza potea kwenye siasa lakini kumbuka kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza, kwa uwezo wa Lissu popote atakapokuwa lazima tu atashang'ara tu. Na chadema wakimfukuza au wasipompa nafasi yeyote watashangazwa sana kwa kumpoteza mtu resources full kama huyo, yaani itakuwa ni kama wanataka...
Anayetakiwa kufukuzwa au kusimamishwa ni Wenje, kwa chama makini na kwa mtu makini anayehubiri uwajibikaji kwanza anatakiwa hata ajiondoe kwenye kinyang'anyiro cha Umakamu M/kiti maana akiendelea na akishinda inamaana chama wamekiuza kwa wapenda Rushwa. Na Mh Lissu ameweka wazi taarifa hizi ili...
Naamini Trump will win the 2024 US election, ukiangalia hiyo trend ya kuendelea kumpiku Harris kwa siku za karibuni kuelekea uchaguzi inamaanisha Wamarekani Wanaendelea kuweka imani kwa Trump, probably pia wale walikuwa undecided wanaanza kumwelewa Trump. Check US election: 1 day left – What...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.