Magufuri amewachanganya hawajielewi Chadema hawana dhamira thats why wanakimbilia huko kwa hofu yakuja kutolewa maana hakuna cha maaana walichokifany ccm
Mtafaruku mkubwa upo katika kuachiana nafasi za udiwani katika maeneo mbalimbali nchini,licha ya kuwapo waraka wa ushirikiano wenye muongozo na vigezo uliotiwa saini agosti 13.2015
SIKU moja baada ya matokeo ya utafiti wa taasisi huru ya Twaweza kuonesha kuwa anapaa katika urais, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ametamba kupata ushindi wa tsunami.
Aliamua kutembea kwa gari, kutembea katika barabara mbovu, kwani uwezo wa kutembea na...
Chama cha CCM kuliko vyama vingine. Aidha, walipoulizwa watawachagua wagombea wa chama gani bila kutajiwa majina ya wagombea wananchi 6 kati ya 10 walisema kwamba watawachagua wagombea wa CCM kwa Urais (66%), Ubunge (60%) na Udiwani (60%). Takwimu hizi zinatoa picha kwamba CCM...
Maana kusomeshwa bure kuanzia chekechea hadi chuo mara form 4 wao watoto wao watakuwa wapi na je wawo walisomaje hapo nyuma?
Je swala la ajira linakuaje hapo?
Afya
barabara
Maana kusomeshwa bure kuanzia chekechea hadi chuo mara form 4 wao watoto wao watakuwa wapi na je wawo walisomaje hapo nyuma?
Je swala la ajira linakuaje hapo?
Afya
barabara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.