Shukrani
Ila kipindi unasoma serikali ilikusaidia mkopo tena wengine asilimia 100 unatak useme zile fedha unafanyia nini ?? Umeshindwa kuwekeza hata buku buku ukaja kutumia kama mtaji wako ??? Sio kila kitu kutegemea serikali kuna shughuli nyingine hazihitaji hata milioni ili ufanikiwe basi tu...
Shukrani
Mpaka now vijana wengi wa vyuo upeo wao wa kufikiri ni mdogo
Licha ya Serikali kupiga kelele kuwa hakuna ajira wao ndio kwanza wataanza kulaumu Serikali oooh kwanini tunasoma sasa!!! No hata Mungu kasema soma na hajasema soma ili uajiriwe ila kasema soma ili uwe na elimu tena na...
Makala nzuri sana
Vijana wakimaliza chuo wanapata changamoto sana kwasababu akili yao yote inawaza ajira za Serikali na kusahau suala la kujiajiri wenyewe. Vijana tubadilike tukitoka chuo au tukiwa chuo tuwe na mawazo ya kuwekeza wenyew binafsi na si kuwa na mawazo ya ajira za Serikali maan ni...
😢😢 mim Nina tatizo kama lako na sikuzaliwa nalo historia kama yako Nipo chuo mwaka 2 sina Amani na elimu kuna mda nakata tamaa kutokana na hili tatizo nakosa fursa mbalimbali kutokana na hili tatizo, kila siku namuomba Mungu lakini bado sijui mwisho wake ni lini ..... hili tatizo ni changamoto...
Huduma za afya ni zile huduma ambazo hutolewa kwa wananchi kupitia asasi za kiserikari na mashirika binafsi katika kurefusha maisha, kuzuia magonjwa na kusaidia watu kupata afya nzuri na bora.
Tanzania ni nchi ambayo ilikuwa dhaifu katika upatikanaji wa huduma za afya hii ni kutokana na...
Makala yangu imejikita zaidi katika kuelezea makosa ambayo hufanywa na wafanyabiashara wengi na hata watu ambao huanza kupanga kufanya biashara. Makosa hayo hufanya watu kudidimia Baraka ya kufanikiwa. Je nini kifanyike? Tutaona mbinu, njia, au mwongozo ambao ni muhimu kufuata ili ufanikiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.