Recent content by gladdyrix

  1. gladdyrix

    Fastjet Arusha: Kauli za wakata tiketi

    Pole sana Mr Man 4 M4c na wewe ulikutana na tatizo hili wapi? ofisi yetu ya wapi?
  2. gladdyrix

    Fastjet Arusha: Kauli za wakata tiketi

    Muonamambo pole sana kwa hilo lililokukuta, tunaomba utuambie ni marketing personnel gani alokupa hayo majibu? kama unaweza pata jina lake ingesaidia sana kurekebisha kosa hilo lisitokee kwa mtanzania mwingine. ila fastjet sio wezi hata kidogo ndo maana tumeamua kurekebisha madhaifu yetu yote to...
  3. gladdyrix

    Fastjet Arusha: Kauli za wakata tiketi

    asante kwa kuipanda na tunaomba radhi sana kwa kero zozote ulizozipata, kumbuka kwamba sisi ni kampuni mpya na carrer mpya Tanzania, mwanzo mgumu ila tunaimani muda si mrefu tutakaa sawa kwani tunarekebisha makosa yetu moja baada ya moja. asante.
  4. gladdyrix

    Fastjet Arusha: Kauli za wakata tiketi

    yes nimeziona na ninazifanyia kazi zote asenteni sana kwa kuyaweka hayo wazi.
  5. gladdyrix

    Fastjet Arusha: Kauli za wakata tiketi

    zamlock mimi kama msemaji wa fastjet naomba radhi kwa watanzania wote kwa mfanyakazi wetu kukosa nidhamu au lugha nzuri kwa mteja... naomba msamaha sana na ningependa kujua ni ofisi ipi tukio hili lilipotokea, maana tuna ofisi nyingi na huyo dada mweupe alikaa upande upi ukinisaidia kwa hilo...
  6. gladdyrix

    Crew wa FastJet jiheshimuni kidogo kwa maruban zenu

    TUNAOMBA RADHI SANA KWA kero uliyoipata, na tunashukuru sana kwa maoni uliyotoa inaonyesha unajali sana watanzania wote na kampuni yetu pia. timu yetu inalifanyia hili suala uchunguzi haraka iwezekanavyo na kama itabainikika kuwa na ukweli wa aina eyote hatua kali zitachukuliwa dhidi yao, na pia...
  7. gladdyrix

    Fastjet ni kero tupu!

    kwamaelezo zaidi na majibu ya maswali ambayo wengi wanajiuliza unaweza kutembelea fastjet low fares explained - Blog - Fastjet. asanteni
  8. gladdyrix

    Fastjet ni kero tupu!

    Pole sana mojaone kwa yaliyo kukuta. fastjet toka tumeanza safari zetu nchini, tumekuwa na rekodi nzuri ya kuwahi kuanza safari na kufika ndani ya muda muafaka. tumeweza kufanikisha yote haya kwa sababu abiria wanawahi kufika airport. hatujawahi acha abiria hata siku moja aliyewahi. muda wa...
  9. gladdyrix

    Kwa uhuni huu wa Fastjet haukubaliki

    kaka yagu pole sana kwa yaliyokukuta, mimi naomba niulize je ulifika ofisini fastjet saa ngapi kulipia hiyo tiketi yako? maana kama ulifika muda ambao tiketi yako isha expire utakuwa unalaumu fastjet bure, kwenye story yako hujaandika ulifika ofisini saa ngapi? na ulipata a cheap price maana...
Back
Top Bottom