Suala la chadema kuanzisha TV na radio station ni msingi sana.Naomba ikumbukwe kuwa si raia wote wanapata fursa ya kuhudhuria mikutano na mikusanyiko mbalimbali aidha kusikiliza au kuchangia katika mijadala.Wengine kwa sababu za kijiografia, majukumu ya kifamilia, kikazi, maumbile (mfano...
Nina mashaka sana na matokeo ya utafiti wa REDET. Sina hakika kama matokeo ya utafiti wao yametolewa kama yalivyopatikana. Hatahivyo naomba tusiyazingatie sana. Tujitokeze kupiga kura hiyo tarehe 31October kwani ni kura tu zitakazo amua nani mshindi.
Mugisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.