Recent content by GK3087

  1. GK3087

    Hadi sasa kuna uwezekano wa 75% wa fainali ya Simba vs Berkane kurudishwa Uwanja wa Mkapa

    Ngoja kwanza, yaani CAF ihairishe mechi tena ya Fainali kisa umekataa kuchezea uwanja ambao simba iliuchagua kama uwanja mbadala!!? Just be serious Nigga
  2. GK3087

    Hadi sasa kuna uwezekano wa 75% wa fainali ya Simba vs Berkane kurudishwa Uwanja wa Mkapa

    Kwan uwanja wa Barkane utakao tumika unaingiza mashabiki wangapi?
  3. GK3087

    Sakata la Simba na Yanga, kuna 'Chess game' ilichezwa?

    Nakubaliana na wewe
  4. GK3087

    Changamoto nazopitia kwenye ndoa

    Pigia msitar hapa
  5. GK3087

    Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

    Ofcoz, sidhan kama kungekuwepo na haja ya kusema ni mechi mbili lakin moja tumesamehewa.
  6. GK3087

    Msimamo wa Makundi Simba na Yanga

    Inshallah
  7. GK3087

    Msimamo wa Makundi Simba na Yanga

    Wote bado wana mechi ngumu mnoo. Cheka for your own risk
  8. GK3087

    Msimamo wa Makundi Simba na Yanga

    Nianze kwa kuwapa pole mashabiki wote wa timu za Kariakoo. Kiufupi kwa jinsi msimamo wa makundi ulivyo kwa wote Simba na Yanga, niwambie tu muda wa kuchekana bado. Muhimu: Yanga asipoingia robo fainali mwaka huu wa kulaumiwa ni kamati yao ya ufundi " Nje ya uwanja" ile mechi ya kwanza na...
  9. GK3087

    FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

    Kwanza mi naona mapicha picha tu
  10. GK3087

    Godlisten Muro

    Namkubali sana Jamaa
  11. GK3087

    Yanga Tupunguze Maneno, Jana hatujashinda Goli hata moja, kuna cha kujifunza hapa

    Sawa simba ina wachezaji vijana!! Je simba itaweza kuwavumilia na viongozi wao wa mihemko kama magori?
  12. GK3087

    Tuache kumlaumu Refa Kayoko kama kichaka cha kufichia Udhaifu wa Simba SC, kuanzia kikosi chake na aina ya uongozi wake

    Oky sawa, vipi umeishajiuliza ile ya Hamza na Dube kama refa angetoa nyekundu kwa Hamza alafu dakika ya 50, hali ingekuwaje kwa Simba?
  13. GK3087

    Mke wangu amezidisha dharau

    Be a man kijana. Dont apply 4R in marriage.
  14. GK3087

    Je, ni sahihi kumwambia mkeo kiasi cha mshahara wako?

    I second you. Kama umeoa MKE kumwambia ni kheri zaidi kuliko kutokumwambia ila kama umeoa MWANAMKE ndg usithubutu.
Back
Top Bottom