Ya napenda sana na nimedhamiria kabisa kitu nachoweza kufanya naweza kujitangaza kwa tv au magazine hata kwa miezi miwili nitajitahid kwan cku zote mwanzo ni mgumu ila kwa baadae unazoea na mambo yanaendelea ni kuwa tu na ujasiri na kuona kila kitu kitakuwa sawa
Jamani wana Jamii, naombeni ushauri wenu kwa aliye na elimu ya biashara mtaji wa ml.14 unaweza kuanzishia biashara ya magauni ya harusi kuyatoa nchini China na kuleta hapa Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.