Recent content by girango

  1. girango

    Confirmation UDOM

    Ww sua imegoma
  2. girango

    Confirmation UDOM

    Ningependa mtu ambae ana link ya jinsi ya kulog in udom make kila nikijaribu inashindikana na nifanikiwa kuingizs taarifa zangu inaniandikia invalid username or password lkn taarifa ninazoingiza ni za kweli sa nashindwa nifanyeje na mda wa kuconfirm unakaribu nilikua naomba msaada mtu anielekeze
  3. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Poa nishatuma udom bado mbeya na udsm
  4. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Dah MUNGU asaidie yn kwa ninavyopenda afya dah MUNGU abless
  5. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Mbn Kuna mdau aliniambia ety udom hata unesi uingii na two ya kumi vipi apo inakaaje
  6. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Nimemaaniaha medical doctor
  7. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Nimesoma pcb na Nina c ya chemia na c ya bioz na d ya physics
  8. girango

    Naweza kusoma Medical Doctor kwa Maksi hizi?

    Nilikua nauliza je naweza soma UMD na two ya kumi ya advance? Nilikua naomba mnisaidieni jamani na vyuo ivyo ni vipi zenye Bei nafuu
  9. girango

    Ni biashara gani naweza anzisha yenye mtaji mdogo?

    Ko ata Kama na mtaji ka laki mbili na nusu hivi
  10. girango

    Ni biashara gani naweza anzisha yenye mtaji mdogo?

    Mimi sasa naingia kidato cha sita but ninandoto za kuanzisha BIASHARA sasa nauliza nianzishe BIASHARA gani yenye mtaji mdogo nikimaliza shule kulingana na maeneo ninayotoka ninatokea Rorya Mara.
  11. girango

    Naomba kujuzwa vigezo vya kusoma Kozi za Afya

    Habari wanajamii forums ningependa kuomba kwa wale wanaofahamu vigezo vya kusomea afya tofauti na md Kama unersi, phamacia,na mengine anisaidie jamani.
Back
Top Bottom