Recent content by gimmydy

  1. G

    JamiiForums Tanzania Lowasa na Pesa za kumwingiza Ikulu 2015

    good adivice unapomaliza kuandika jambo kabla ya kupost hebu jaribu kuliedit kwanza ukiona umeandika zero point delete kisha ushugulishe kichwa ok.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Hapa masihara yamezidi mh.makamu wa Rais

    hahahaha! tatizo wameisha gundua ya kwamba watanzania wengi wanapenda kuahidiwa hata kama ni pumba! kwahiyo tuwachukulie kawaida coz hawajagundua kwamba watanzania huko walishatoka! hapa ni kuwaombea kwa Mungu awasamehe dhambi zao hasa dhambi ya ufisadi na uongo.
  3. G

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ama CCM kipi kitanifaa hasa kuelekea 2015?

    viongozi bora hawapatikani kwa dini zao, sura zao au kuongea kwao sana! la kiongozi bora anatokana na sera zake na, mipango madhubuti ya kutekeleza sera zake na je baada ya kuwa kiongozi ametekeleza sera zake na kama ametekeleza ni kwa kiwango kipi? hebu tujipe muda wa kutafakari na kufuatilia...
  4. G

    JamiiForums Tanzania 2015 ni CCM au CHADEMA: Nini matarajio yako?

    tatizo kubwa bado watanzania wengi hasa walioko vijijini wanaamini ccm ni chama kilicho wazaa, lkn hakika tukiendelea na mtazamo huu maendeleo tz ni kichwa cha mwenda wazimu.
Back
Top Bottom