Ili siasa yetu iwe kweli ya kidemocrasia na haki, isiyo na fujo za kila aina, ningependekeza tufute bendela za vyama. Wote tutumie bendela moja ya TAIFA tu. Hii itatuweka pamoja pasipokujua itikadi ya mtu. Mtu mwenyewe atabakia na siri au dhamira yake mwenyewe.
Lakini pia tupige marufuku sare...