Recent content by gilbert pangani

  1. G

    Hawa askari hata aibu wala wasiwasi hawana, mbele ya Ikulu wanapokea rushwa

    we hukuona aibu kutoa mbele ya ikulu jitasmini kwanza
  2. G

    Hawa askari hata aibu wala wasiwasi hawana, mbele ya Ikulu wanapokea rushwa

    nawe uliye toa una mapungufu sana kama ulijua ni kosa kwann uliamua kutoa hiyo pesa mtoa rushwa na mpokeaji wote wametenda kosa halafu unajisifia ungepelekwa ungelalamika sana acheni siasa chafu
  3. G

    Maandamano ya CUF: Hali si shwari wizara ya mambo ya ndani makao makuu

    wamesema subilin hadi wiki ijayo usalama wa wiki hii si mzur sasa wao wanataka kwa nguvu kwann wassikilize zeni ikifika siku hiyo wayafanye na kupewa ulinzi elewen sio kulaumu
  4. G

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    sasa mmekuwa na huduma mbovu sana kila kukicha mmnapunguza vifurushi kwann mmnadhan watanzania wote wana hela
  5. G

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    jamani voda mmekua wez mbona mafuta yamepungua bei inakueje mnawaibia watanzania tunadhani esclor ni viongoz pekee kumbe na nyie mmo achen rudisheni zile bundle mlizopungua msidhan tunafaidi kitu
  6. G

    Hali sio shwari Chuo Kikuu cha Dodoma, Polisi waingilia kati kuzima maandamano

    jitahidin kutumia haki na uajibikaji wa selikal hili swala ni la mikopo ya elimu ya juu maana ni mamlaka inayo jitegemea kwa akil ungesema na hawa wa digreee wanadai hapo ingeleta sura tofauti sana sasa wanachokitaka wakubwa zao walishaona inafaa
  7. G

    Hali sio shwari Chuo Kikuu cha Dodoma, Polisi waingilia kati kuzima maandamano

    tatizo hao ni promoshen wanasaidiwa tu ili wapate ajira vinginevyo wangekuwa mtaan wajitambue si kila kitu ni mtelemko 7500 inatosha kulingana na koz wangekuwa ni digree labsa wangefikiliwa
  8. G

    Hali sio shwari Chuo Kikuu cha Dodoma, Polisi waingilia kati kuzima maandamano

    wewe naona akil haijakomaa na haina utasho jione upya kama upo vizur hilo si jambo la kuoanisha mateso ya wanafunz na ufisad pamoja na vyama usiwe bora mtanzania jitahidi kuona ni mambo gan ya kuchangia acha wapate stahki zao japo njia ya kugoma bil ruhusa si salama kwao
  9. G

    Siamini kama rais Kikwete amekataa kuonana na vijana watatu wa Geita!

    huwez mwamin mtu kiasi cha kukubaliwa bila viongoz wao kuwapa kipaumbele ili wafanikishe hazma yao tatizo hawakupata support
  10. G

    CCM kila mkakati hupagwa; sakata la akaunti ya tegeta escrow limezima kabisa kampeni ya katiba.

    sakata escr na katiba ni mambo tofauti tusiwe na ujinga watanzania wa mawazo wakati unasema nchi yako imeuzwa bas ukumbuke na matukio yanchi nyingine hasa misri ikivyo chafuka sababu ya ujinga wetu binadamu hasa waafrika
  11. G

    Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

    angalien chanzo cha ajal tunasema kila siku mwendo kaz heshmu chombo chako cha moto
  12. G

    Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

    msiwe wepesi wa kudhani ni hira za watu cha msingi ni kumuomba sana mungu kanusulika achen mira potovu elimiken
  13. G

    Rais Jakaya Dr. Kikwete, huna haja ya kigugumizi

    sisi tatizo letu watanzania wepesi wa maneno sana ila ni wagumu wa mawazo jambo likitokea huwa ni la hapo kwa hapo linakwisha na mtu akikosa solution yetu ni kujiudhuru badala ya kuachia mamlaka zinazohusika zenyewe kuchukua hatua
  14. G

    Rais Jakaya Dr. Kikwete, huna haja ya kigugumizi

    yawezekana unasema sheria imevunjwa sawa lakn sio kwamba ukitenda kosa huto adhibiwa lahsha kinachosemwa ni kwamba kama kosa limefanyika bas lichukuliwe hatua stahiki kwa kuangalia maslah ya baadaye kama muhongo unaweza jiuliza kwann hajachukuliwa hatua mapema iwezekanavyo maana kuna mambo...
Back
Top Bottom