Kwa kweli hali siyo nzuri sana japo mfumuko wa bei ndo tatizo ,maana bidhaa nyingi sana zinatoka nje sasa inakuwa ni ngumu sana kukabiliana na hali hii . japo ni
1. Kutunza mtaji kama hata ni Mdogo bila kuingilia biashara nyingine
2 . kuwaza na kuendeleza mazuri unayo yaona katika biashara ...
Mkuu nakushauli kopa maana malengo unayo ww tu mwenyewe na uoga wako ndo umasikini wako ,na ukikwama Leo hii Mimi sitakusaidia kabisa chochote kile na ukiendelea ni faida kwako na familia na nchi pia na pia ni kugundua changamoto tunazopitia wafanyabiashara mbalimbali kwa kila siku mkuu , chukua...
Mkuu ,pole sana changamoto ni nyingi sana ,ila ningekushauri ukaanze hata certificate kulingana ulivyofaulu hususani kama ulifaulu science , au anza na ulichonacho mkuu ,usikate tamaa.
Ninauliza wakuu,
nisaidie ili nijue sehemu wanakouza vitabu vya ujasiriamali namna ya kufanikiwa. Niko hapa Mwanza na kama unajua bei yake nambie nitashukuru endapo wadau watanisaidia kujua hili jambo.
Naomba na Mimi nichangie ili utusue lazima ujiajiri hata kama bado umeajiriwa kwa sababu ukifanya hivo na una mtaji wako, na biashara utafanikiwa na kuwa na heshima sana na pesa, usifanye mambo ili kufurahisha watu ,kama kutoa pesa, hivyo hivyo, na kumbuka pia kuwasaidia wazaz na familia kuijali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.