Recent content by Gigiko2020

  1. G

    Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na Maalim Seif siyo Wanachama tena

    Nimebahatika kuiona katiba ya ACT toleo la 2015 mahali fulani. Kipengele cha sita kinasema: 6. Uamuzi wa kumfukuza mwanachama yeyote hautakuwa na nguvu hadi pale uamuzi huo utakapokuwa umewasilishwa kwa maandishi. Nani na kikao gani cha kutoa uamuzi wa kuwafukuza uanachama Zitto au Seif ndani ya...
  2. G

    Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na Maalim Seif siyo Wanachama tena

    Hili linashangaza! Siamini hii ndio katiba ya ACT (toleo la mwisho lililohaririwa). Angalia kipengele cha tano kina makosa mengi sana ya kiuandishi. Pia huo msitari wa mwisho uliokatwa hapo inaonekana una utaratibu maalumu wa kufukuza wanachama kupitia vikao maalumu vya chama! Hebu wekeni...
  3. G

    GE2020 MAHOJIANO: Tundu Lissu na VOA ya kusimamishwa kampeni na NEC, anakubaliana na Magufuli kuhusu COVID19

    Nimemsikia sauti yake. Imekuwa na mkwaruzo fulani na ingeweza kukauka angeendelea na kampeni kwa wiki hivi. Apumxzike kidogo. Chadema wabuni njia mpya ya kuwafikia wa-Tz wote. Kufungiwa kampeni kwa siku 7 ni kufanyiwa 'promo' ya bure. Wasipoteze muelekeo waanze kupambana na vyombo vya dola huku...
  4. G

    Tujiulize, wako wapi mashabiki wa Lissu wapinge adhabu barabarani?

    Kumzuia Lissu kufanya kampeni ni kumfanyia kampeni kupitia vyombo vya habari nchi nzima. Ni mjinga tu anayeweza kuandamana kupinga hiyo 'promo' ya bure kabisa iwe halali ama batili.
  5. G

    GE2020 Lissu pumzika, katika kipindi hiki cha week moja, nchi na Dunia itakusemea kuliko ambavyo ungesema wewe

    Kweli kabisa. Lissu 'chill'. Umefanya kampeni ya nguvu huku ukiwa na furaha tele. Haya yanafanyika kukuondoa kwenye reli ili wewe pamoja na Chadema muanze kampeni za fujo kupambana na polisi. Kusimamishwa kampeni ni kampeni tosha kwako. Wewe ni tishio! Hiyo ratiba ya hizo siku saba za...
  6. G

    Maajabu connect DOTS: Tume ya uchaguzi ndio mlalamikaji na inamlalamikia Lissu na kamati hao hao walalamikaji. Ikiwa wao ndio wenye kosa watajiuzulu?

    Bahati nzuri sheria inajieleza vizuri sana. Ukifuata vipengele hivi vya Tume huyu mkurugenzi wa Tume Mahera ameshahukumu tayari kwa kupitia kipengele 5:11c
  7. G

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Kwenye kumuita Lissu akajieleze kamati ya maadili naona Mahera na Tume kwa ujumla wanajiaibisha na kujiweka wazi kuwa wako upande wa mgombea fulani. Magu ameshafanya makosa mengi ya wazi yanayohusu sheria zilizotungwa na NEC na hawajaongea wala kuonya!
  8. G

    GE2020 Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Mahera apumzishwe haraka, anaweza kutupeleka kwenye matatizo makubwa

    Mahera anashikilia nafasi nyeti ya kitaifa. Na alitakiwa aonyeshe yupo 'neutral' wakati anatoa tangazo la kumuita Tundu ajieleze. Naona ametoa tangazo kwenye vyombo vya habari kwa papara na hasira na hiyo imeleteleza kujianika wazi kuwa ana upande. Mbona hakukasirishwa na mgombea kujinadi kwa...
  9. G

    Baadhi ya kauli za wafuasi wa CHADEMA baada ya tarehe 28 Oktoba, 2020

    Ha ha ha Wana_Lumumba. Hamna hoja na sera na mmeshapoteana!. Kipindi Lowassa anagombea mwaka 2015 mlikuwa na hoja nyingi dhidi ya wapinzani kwenye hili jukwaa.
  10. G

    Baada ya kula kiapo tume ya uchaguzi, ma-DED hawapaswi kupokea amri kutoka kwa Dkt. Magufuli

    Sauti bado ndogo sana kwenye hili ingawaje Lissu kaligusia. Mwangwi wa hili unatakiwa kuwa mkubwa sana. Hawa wateule wakikalishwa kitako na Mkulu huwa wanaenda kufanya mambo ya ajabu sana yatayoharibu uchaguzi wooote. Rejea kiwango cha madudu yaliyofanywa na makatibu kata uchaguzi wa serikali...
  11. G

    Ufafanuzi kuhusu kufutwa uwakili wa Fatma Karume

    Kila lenye mwanzo lina mwisho. Nilitegemea huyu Dr. Lugemeleza Nshala (rais wa TLS) atoe ufafanuzi wa kisheria kama Bi Fatma Karume ametendewa haki ama la. Kumbe nguvu yote hii ya TLS inatumika kusema eti si kamati hii bali ni kamati hii iliyomfutia uwakili Bi Fatma Karume. Hatuna TLS tena!
  12. G

    GE2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

    Acha chuki zako zisizo na msingi kwa Zitto na ACT. Wamejitahidi kimkakati kutogawanya kura. Ndio maana Membe hajaenda na viongozi wa ACT kuomba kura sehemu ambazo ACT inanguvu kubwa kama Kigoma, Mtwara, Tanga, Pemba na Zanzbar. Lissu ni " genious" (sio mbinafsi kama baadhi ya viongozi na...
  13. G

    Msajili asaidiwe asiinajisi Ofisi ya Umma. CCM + TLP, CHADEMA + ACT hawajavunja Sheria

    Nimesoma hicho kifungu cha sheria husika na pia barua ya msajili wa vyama. Barua ya msajili wa vyama inaonya kuhusu "ushirikiano" wa vyama lakini kifungu cha sheria ya vyama vya siasa kinaongelea "muungano" wa vyama. Barua aliyoandika msajili imepotosha sheria kwa malengo ya kukibeba chama...
  14. G

    GE2020 Maamuzi ya Rufaa NEC, Septemba 13: Rufaa 4 za Wagombea Ubunge zakataliwa, Madiwani 25 warudishwa

    Inaonekana rufaa zote zimekataliwa na hii TumeCCM hapo Mbeya mjini (Mahera anajua fika CCM haina chake Mbeya). Na imenishtua sana hapo Babati mjini eti rufaa nne za wagombea ubunge walioenguliwa kutoka vyama vinne tofauti zimekataliwa. Huu ni mpango mkakati wa TumeCCM kumpitisha msaliti Pauline...
  15. G

    GE2020 Naona dalili za CCM kupaniki na sasa wanaanza kutafuta shari

    Bwashe, Lissu ametoa tusi gani? Mimi naona anatoa hoja zinazowaondoa relini! QUOTE="Lu-ma-ga, post: 36665686, member: 26656"] Mlidhani mnaweza kuongea upupu bila kujibiwa. Pokeeni majibu hayo kama hamtaki mtalazimishwa kuyapokea Kutukana hakuruhusiwi katika kampeni, muige style ya JPM. Acheni...
Back
Top Bottom