Recent content by GIFT ROMAN

  1. G

    Nikioga maji nawashwa sana..

    Maziwa ni dawa ya kuondoa sumu mwilin,so kama vp ogea maziwa.
  2. G

    Tuige hii desturi ya wachaga

    nhe nhe,acha tuweke mipango sawa then mda si mrefu tutajitangaza
  3. G

    Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa

    Mwenye nacho ndiye mwenye stahiki ya kupewa haki, ole wake yeye asie nacho.
  4. G

    Tahadhari Kwa Wezi Wa Simu Mtaani!!!

    hicho kifaa kinapatikana na huku kwetu pia? Nakihitaj, kama kinapatikana nijulishe
  5. G

    Swali la kizushi: Muungano Ukivunjika madini ya TANZANITE yataitwaje?

    Yanaweza kubaki na hlo jina tu lakin yakafahamika kuwa niya bara,huo muda wa kuwapa tena watupotezee hela zetu huko bungeni kisa kujadili majina ya rasilimali nani anao?
  6. G

    Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi?

    Kwani hazina label zinazoonyesha kuwa zimetokana na nin?
  7. G

    Pesa ndio kila kitu kweli?

    Pesa sio kila kitu,ila pesa ni msaada wa vitu vingi
Back
Top Bottom