Recent content by GIDMAL

  1. G

    JamiiForums Tanzania BIN ZUBERY sasa anavuka vipaka. Anapata kiburi wapi kusema haya.

    Badala kujadili hoja watu wanamjadili bin zuberi. Rage hana usafi wowote wa kumtosha kuwachafu wengine.ile kutiwa hatiani tu kwa kosa la wizi tayari imemtia doa hata kama alishinda rufaa.halafu kesi nyingine ya kutiwa hatiani kwa kupanda jukwaani na bastola kule igunga ambapo alitozwa faini tu...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mbuyu twite amesajiliwa na yanga?

    yanga wanaimarisha defence yao,umri wa canavaro miaka 30 sasa atahitaji kupumzika baadh ya mechi.isije kutokea kama last year alipochezeshwa mechi na coastal union akiwa na redcard na timu kunyang;anywa points.suala la mbuyu twite ni fundisho kwa aden rage kwamba mambo ya usajili awaachie wadogo...
Back
Top Bottom