natambua kama kazi hi si ndogo lakin niko tayari kuwatumikia wananchi wa iramba na si muda utanisikia mana tayari kuna watu wengi wa sehemu mbalimbal apa iramba wananifahamu vizur. Usiwe na shaka twende kwa pamoja kuikomboa iramba
maendeleo ni mchakato mrefu na unahitaji mtu makini wa kuyasimamia, na sehemu yeyote ili maendeleo yaje lazima kuwe na uongozi imara ambao hawana masilah yeyote ktk sehemu hyo lkn kwa iramba ni tofauti wabunge wamekuwa kwa kutetea chama na kunufaika wao binafsi na si wananchi wao, iramba ina...
mim ni mpinzani na naamini huku ndio sehemu nzuri ya kuwatumikia wananchi wa iramba, mana toka uhuru wabunge wote waliopita ni wa ccm lakini hawajawasaidia wananchi masikini wa iramba.
Nina matumain makubwa ya kuendeleza jimbo la iramba magharibi katika elimu, maji na huduma za afya za uhakika! Najiamin na pia nina elimu ya kutosha. Wabunge waliopita wa iramba magharibi hawajasaidia jimbo na matokeo yake wamekuwa kwa masilahi yao binafsi na chama, kuanzia kwa ndugu KIULA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.