Ni wazo zuri lakini ni gharama pia kutoa matangazo kubandika kila sehemu. At the moment tu rasilimali fedha ndogo sana na majukumu ni mengi.
Tunawanafunzi wengi yatima , tunawagonjwa na majukumu mengi kwahiyo kila shillingi tunaitumia ipasavyo.
Kikubwa lazima watu pia waamke. Uwezi tafuta...
Picha ya kwanza ni madarasa ambayo yamejengwa Bulunde Secondary kwaajili ya kidato cha 5&6
Picha ya pili vijana wakikopeshwa bodaboda kwa gharama nafuu katika jitiada za Mh Mbunge kukuza sekta ya ajira.
Picha ya tatu Mh Mbunge akishiriki zoezi la kuhamisisha kukata Bima ya Afya ambapo bodaboda...
Taarifa ya mwezi wa tatu hadi mwezi wa Tisa mwaka 2016 juu ya shughuli mbali mbali zinazofanywa mojakwamoja na Ofisi ya Mbunge na Halmashauri ya Mji wa Nzega.
__________________
Ni takriban miezi tisa sasa tangu Mh Mbunge Hussein Mohammed Bashe apewe ridhaa na wananchi wa jimbo la Nzega mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.