Gideon Anyona
Senior Member
- Jun 28, 2014
- 106
- 57
Taarifa sahii zipo Ofisi ya Mbunge na Halmashauri ya Mji.View attachment 381424 KIPITA SHOTO MJINI NZEGA
Nikiwa kama mwananzego(mkazi) wa mji wa nzega nimefurahi sana kupata majibu kutoka kwa mwanachama mwenzetu hapa jamii Forum anajiita GIDEON ANYONA safi ila na swali
Leo hii jamii Forum wamekuja na huu mradi katika jimbo la nzega wameanzisha huu mjadala tumeweza yasema tunayoona kero na Gideon amajibu niwapongeze jamii Forum kwa hili kwani tumepata pakusemea
Swali langu kwa huyu Gideon taminije usemayo ni tarifa sahihi?
Pili ikiwa usemayo ni tarifa sahihi je ni wapi mwananzego asiyejua tumia jamii Forum akaona tunayoyajadili hapa anaweza kwenda nakuzikuta hizi tarifa sahihi?
Tatu unaweza kuwa msaad kwangu na wananzega wengine watumiao hii mitandao ya kijamii tunaomba utupatie tofuti ya halmashauri ya mji nzega ili tuingie tuone yaliyomo maaana nimehangaika sana kutafuta tarifa za ulichonijibu sijaona
Asante