Habari zenu waungwana, binafsi nina tatizo la vidonda vya tumbo linanisumbua sana kwa ambaye anafahamu tiba au mwenye ushauri madhubuti msaada.
Natanguliza shukrani.
Ndugu zangu nitangulize samahani kwanza kwa kuvamia mada, nafanya hivo sababu nashindwa kupost, Mimi biñafsi nasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa anayefahamu Tiba au ushauri madhubuti anifahamishe tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.