Wewe una mtatizo ya kiakili,
Aweda anahusikaje na maandamano ya chadema? Kwani yeye ni kiongozi wa kitaifa. Aweda alikuwa anazungumzia msimamo wake wa kulipua mambo hapa jf hata kama ni mambo ya hatari.
Na desturi yake amekuwa akileta mambo mazito kutoka magazetini na mengine kutoka kwenye...
Mkuu,
umemsahihisha vizuri kuhusu mahali Aweda alipotoka. Anapomnasibisha Aweda na Slaa nadhani alilenga zaidi tabia hii ya Aweda ya ujasiri wa kulipua mada yenye risk kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.