Recent content by Gidamnyoda

  1. G

    Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

    Hongera mzee wa visungura kwa kuchangia pato la taifa johnthebaptist
  2. G

    LGE2024 Makalla: Chagueni wagombea wa CCM wale wa CHADEMA Mbowe kasema hawana ILANI ni hatari kuwa na kiongozi bila kuwa na Mkataba wa atakufanyia nini

    Badala aseme hiyo ilani yao amekazana kumzungumzia Mbowe,. Nje ya mada jamaa limefuga kitambi mpaka linashindwa kuzungumza vizuri
  3. G

    Je Kwanini USA wameruhusu Ukraine kupiga ndani ya Urusi?

    Umei_undermine Russia sana, halafu Trump na Putini wanaongea lugha moja japo mainstream media zimekudanganya kua hawaivi, Chini ya rais Trump Dunia itakua salama na amani zaidi. We jamaa kumbe kwenye uga wa kimataifa ni mweupe hvyo.
  4. G

    Hapa sasa ebu ona yeye ndio wewe

    Visungura vimepanda kichwani.
  5. G

    Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

    Kajipatia mileage ya kutosha akiitumia vizuri na naamini atafanya hvyo kwa kua ndio eneo lake la kujidai basi atapiga hela za kutosha. Niffer collection Niffer lingerie Niffer perfume Niffer restaurant Niffer smartphone Niffer agro machinery Niffer dairy milk Niffer automotive Niffer carwash...
  6. G

    Rais Samia aongeza Saa 24 kwenye uokoaji Kariakoo

    Bongo ukipata chance ya kusepa usirudi tena.
  7. G

    Kasimu Majaliwa: Polisi Mtafuteni Mmiliki wa Jengo

    Nilitegemea awe tayari kashachukuliwa maelezo, kumbe hata kumwita bado
  8. G

    Naamini hii njia ikitumika haifiki saa 10 jioni kifusi chote pale Kariakoo kitakuwa kimeisha na walioko chini watakuwa wametolewa

    Mwendo wa Karai, ndoo, grenda ,tindo, nyundo kila upande ni kuchoronga na kuzama kifusi kingekua kimeisha na njia kupatikana
  9. G

    Jinsi ya kupunguza gharama ya maji ya kunywa

    Unatumia njia ndefu sana mkuu
  10. G

    Hii video inasikitisha sana

    Dah! the man confront the fragility of life
  11. G

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kujiuzulu, kitengo cha majanga kimemshinda

    Pressure ya umma ni ndogo sana hakuna mtu atawajibika wala kuwajibishwa ndio imeisha hvo.
  12. G

    Mtaalamu wa Kenya asema biashara na China imeboresha maisha ya Waafrika

    Simu za China zimesaidia sana kurahisisha mawasiliano
Back
Top Bottom