Umuofia kwenu
Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.
Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu...
Mimi naunga Mkono mawazo ya Mwambe, hakika fedha za Ruzuku zinatakiwa kusimamiwa vyema kwa ustawi wa Chama, leo mnawabunge 2020 hamtakuwa nao wengi hivyo Kama mliowapata 2015... Hivyo Chama kilitakiwa kujipanga hata kuanzisha miradi ya kiuchumi ili kisije kutetereka wakati wa njaa...
Kwa Miaka...
Nasikia alishawavuruga Sana Wilaya ya Magu, na huko ndio kwao...... Anajisifu kuwa ameleta Ambulance, X-RAY Machine, ametoa eneo bure la Ujenzi la Mradi wa maji wenye thamani ya 16Billions na ushee,... Yaani akinusu serikali inampango flani anakimbia kusema.... Mpaka kumkosoa DC wa Magu...
Baada ya kupitia Mjadala huu Ushauri wangu kwa DED Magu, Ndugu; Lutengano Mwalwiba...
Nakuheshimu sana kwa usikivu wako, uhodari, ubunifu na uchapa kazi wako ukiwa kama Karani Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Magu...
Aidha, naomba nikushauri ufanyie kazi mambo kadhaa ikikupendeza
1. Maofisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.