Sio yeye wala wale wasaidizi wake jamaa hawana cha kuogopa ......Msaidizi wake anajibu huenda bosi hela amefanyia Mambo mengine kwa hiyo vumilia hivyo Ndio umeshapigwa ......
Bonge la Tapeli kwa sasa mnakubaliana biashara Vizuri unafika mpaka Ofisini kwao Unalipia fedha Nusu kwamba labda gari itafika baada ya siku tatu Hapo ndio David mgashi anakuwa amekutapeli simu za kawaida hapatikani tofauti na whatsaap pekeee huko ndio anakowaumiza watanzania
Ofisini kwake...
Vivid evidence kama kitu gani??
kuna mtu yuko Arusha 6M kuna mtu yuko Geita 7.7M kuna mtu yuko masasi 2M kuna mtu yuko Tanga 2.5 ikiwa unaweza kuwasaidia nikupe hizo vivid evidence hawa ni wachache kati ya wengi wanaoumizwa kimyakimya
Kampuni inayojiita DEV Magari Broker and Auctioneer Limited wakijihusisha na Uuzaji wa magari na utoaji wa mikopo hawa watu ni matapeli
Kampuni hii Iko pale Banana jijini Dsm..... Mnakubaliana kuuziana gari na utakapolipia Nusu ya Fedha pale Ofisini kwao wanaanza kukuzungusha Hutapatiwa Gari...
huko msumbiji si Ndio juzi juzi rais wao aliwapongeza Jwzt kwa kusaidia kuleta Amani katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa msumbiji...... Tanzania yenyewe iko kimyaaa tumesikia kwa Nyusi akimshukuru Samia suluhu
Ibada isiyokutenganisha na mambo machafu sio ibada mzeiya
Ndio manaa Qur'an inawapa onyo wenye kusali unaweza kushtuka wenye kusali wameonywa pia mwishowe aya ikasema wale ambao sala zao huzipuuza
Kwa hiyo ibada ambayo haikufanyi ukaacha mambo machafu ni kama seat ups kukata tumbo basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.