Recent content by Ghulaam

  1. Ghulaam

    Kozi ya uaskari ni muda gani wakuu isije ikawa napangwa

    Unaoana na mtu humjui Aiseee......kozi nyingi zinarange miezi 6 ,9, mwaka mpaka mwaka na nusu
  2. Ghulaam

    2025 Strongest Millitary Rank: Tunazidiwa vipi kijeshi na Msumbiji?

    huko msumbiji si Ndio juzi juzi rais wao aliwapongeza Jwzt kwa kusaidia kuleta Amani katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa msumbiji...... Tanzania yenyewe iko kimyaaa tumesikia kwa Nyusi akimshukuru Samia suluhu
  3. Ghulaam

    PreGE2025 Mizengo Pinda anaweza kumsaidia vyema Sana Rais Samia Umakamu Mwenyekiti

    mama yangu zimekuwa nyingi sana Kiasi Amiri Jeshi anahisi jambo
  4. Ghulaam

    Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

    Ibada isiyokutenganisha na mambo machafu sio ibada mzeiya Ndio manaa Qur'an inawapa onyo wenye kusali unaweza kushtuka wenye kusali wameonywa pia mwishowe aya ikasema wale ambao sala zao huzipuuza Kwa hiyo ibada ambayo haikufanyi ukaacha mambo machafu ni kama seat ups kukata tumbo basi
  5. Ghulaam

    Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

    Basi tufukuzeni mbakie wenyewe mombo mtanzania dini yake inatusaidia nini akili zimejaaa mavi chuki za kiboya tuuuu
  6. Ghulaam

    Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Dr Hussein amefanyia /anafanyia kazi hospital gani??
  7. Ghulaam

    Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Na hii ni chuki yako endelea kuugua na uislam Utaumwa na uislam unfortunately utaendelea ktk maisha ya watu
  8. Ghulaam

    Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Kwani Iraq kabla ya kusingiziwa kuwa na silaha za sumu kuvamiwa kijeshi walikuwa waarabu wa aina gani......Yemen kadhaalika si miaka kadhaa nyuma ndio imeingizwa kwenye vita walikuwa waarabu wa namna gani??? Kadhaalika libya
Back
Top Bottom