huko msumbiji si Ndio juzi juzi rais wao aliwapongeza Jwzt kwa kusaidia kuleta Amani katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa msumbiji...... Tanzania yenyewe iko kimyaaa tumesikia kwa Nyusi akimshukuru Samia suluhu
Ibada isiyokutenganisha na mambo machafu sio ibada mzeiya
Ndio manaa Qur'an inawapa onyo wenye kusali unaweza kushtuka wenye kusali wameonywa pia mwishowe aya ikasema wale ambao sala zao huzipuuza
Kwa hiyo ibada ambayo haikufanyi ukaacha mambo machafu ni kama seat ups kukata tumbo basi
Kwani Iraq kabla ya kusingiziwa kuwa na silaha za sumu kuvamiwa kijeshi walikuwa waarabu wa aina gani......Yemen kadhaalika si miaka kadhaa nyuma ndio imeingizwa kwenye vita walikuwa waarabu wa namna gani??? Kadhaalika libya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.