Recent content by Ghulaam

  1. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Shekhe Mwapopo amcharukia Mange, adai amechochea maandamano na kusababisha mauwaji ya watu

    Hukum ya mchawi ni kifo usome uislam vyema
  2. Ghulaam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kozi ya uaskari ni muda gani wakuu isije ikawa napangwa

    Unaoana na mtu humjui Aiseee......kozi nyingi zinarange miezi 6 ,9, mwaka mpaka mwaka na nusu
  3. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania 2025 Strongest Millitary Rank: Tunazidiwa vipi kijeshi na Msumbiji?

    huko msumbiji si Ndio juzi juzi rais wao aliwapongeza Jwzt kwa kusaidia kuleta Amani katika maeneo mbalimbali ya kaskazini mwa msumbiji...... Tanzania yenyewe iko kimyaaa tumesikia kwa Nyusi akimshukuru Samia suluhu
  4. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

    sasa hapo Hoja iko wapi jombaa??
  5. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mizengo Pinda anaweza kumsaidia vyema Sana Rais Samia Umakamu Mwenyekiti

    mama yangu zimekuwa nyingi sana Kiasi Amiri Jeshi anahisi jambo
  6. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

    Ibada isiyokutenganisha na mambo machafu sio ibada mzeiya Ndio manaa Qur'an inawapa onyo wenye kusali unaweza kushtuka wenye kusali wameonywa pia mwishowe aya ikasema wale ambao sala zao huzipuuza Kwa hiyo ibada ambayo haikufanyi ukaacha mambo machafu ni kama seat ups kukata tumbo basi
  7. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

    Basi tufukuzeni mbakie wenyewe mombo mtanzania dini yake inatusaidia nini akili zimejaaa mavi chuki za kiboya tuuuu
  8. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

    Biblia ina edition ngapi??? Mpaka sasa Qur'an kuna edition ngapi mpaka sasa???
  9. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Zifuatazo ni ajira (kazi) za watoto wa maskini

    Dr Hussein amefanyia /anafanyia kazi hospital gani??
  10. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Ulikuwa unaishi libya sehem Benghazi au Tripoli ?
  11. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Na hii ni chuki yako endelea kuugua na uislam Utaumwa na uislam unfortunately utaendelea ktk maisha ya watu
  12. Ghulaam

    JamiiForums Tanzania Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

    Kwani Iraq kabla ya kusingiziwa kuwa na silaha za sumu kuvamiwa kijeshi walikuwa waarabu wa aina gani......Yemen kadhaalika si miaka kadhaa nyuma ndio imeingizwa kwenye vita walikuwa waarabu wa namna gani??? Kadhaalika libya
Back
Top Bottom