Recent content by Ghostshadow

  1. Ghostshadow

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    Nenda kainame na wainamao Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Ghostshadow

    Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

    Upungufu wa akili huja polepile
  3. Ghostshadow

    Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

    Maisha yanabadilika kwa kasi sana miaka hii issue si domo zege wala muongeaji issue ni pesa tu we ongea uongeavyo kama huna pesa hupati mpenzi wala rafiki iwe domo zege uwe handsome uwe muongeaji kama huna pesa hupati kitu ukiwa na pesa uwe vyovyote utapata kila kitu mpaka chawa watajileta
  4. Ghostshadow

    Kwanini Kisiwa cha Mafia sio sehemu ya Zanzibar?

    Nini mafia? Hata unguja na pemba ni sehemu ya tanganyika isipokuwa kuna hulka imejijenga miongoni mwa watu wa visiwani kuwa wao ni waoman na washirazi kiasili ndio wenye nia ovu ya kutaka utaifa wao kando na tanganyika lkn ukweli usiopingika ardhi yote ya visiwani mali ya tanganyika. Kama hao...
  5. Ghostshadow

    Mfahamu Waziri Mkuu wa zamani wa Israel bwana Ariel Sharon aliyelazwa kwenye Coma kwa miaka 8

    Ni myahudi sio mkristo na anamtambua musa sio yesu
  6. Ghostshadow

    Mfahamu Waziri Mkuu wa zamani wa Israel bwana Ariel Sharon aliyelazwa kwenye Coma kwa miaka 8

    Ila ni myahudi sio mkristo na wayahudi hawamtambui yesu dini ya uyahudi inamwita yesu ni mzushi wao kwao musa ndio kila kitu
  7. Ghostshadow

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    Kuna baadhi ya wakristo wanawatukuza wayahudi kuzidi maelezo.na wengi wao nadhani hawajui vizuri ukristo au ni ile hali ya kwa kuwa wamezaliwa na wazazi wakristo basi na wao wanajiita wakristo? Dini ni muongozo kwetu binaadam kuishi na na kutenda mema lkn kuna baadhi ya wakristo ktk hali ya...
  8. Ghostshadow

    Mtu wa kwanza kuumbwa (Adamu) hakuwa mwanaume

    Nimecheka nusu nizimie "eti mungu alisahau"
  9. Ghostshadow

    Maadui walioizunguka Israel wako zaidi ya million 500 ni nini kinachowashinda kuifuta Israel?

    Hapana ila nchi yako ni shetani ya wazungu ndio ya mungu [emoji56][emoji56][emoji56]
  10. Ghostshadow

    Maadui walioizunguka Israel wako zaidi ya million 500 ni nini kinachowashinda kuifuta Israel?

    Waliopo pale ni wazungu tu waisrael walifutiliwa mbali hitler miaka ile
  11. Ghostshadow

    Maadui walioizunguka Israel wako zaidi ya million 500 ni nini kinachowashinda kuifuta Israel?

    ITAKUA JAMBO JEMA UKIWEKA NA HISTORIA YA MASHUJAA WA TAIFA HILO TEULE JINSI WALIVO JILINDA MAUJI YA HITLER NA KUWAOKOA WATU MILION6
Back
Top Bottom