Recent content by GERVASE SEBASTIAN

  1. G

    Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

    M7 aliulizwa mwananchi wake kwenye ziara mojawapo kuwa "baba sukari mbona inapunja sana wakati inatngenezwa nchini?"baada ya ilo swali kumchanganya, aliamua kumtuma afisa wake ili amuulize yule mwananchi kuwa sukari inauzwa bei gani.Baada ya majibu M7 akasema nilifikiri kilo moja ya sukari...
  2. G

    Waziri Mkuu apokea taarifa ya nyongeza ya mishahara, kuiwasilisha kwa Rais ambaye ataitangaza hivi karibuni

    Viongozi wengi wanaotokana na kada ya ualimu wanakuwa na matatizo katika vyeo vya ngazi za juu.Trust me!
  3. G

    Waziri Mkuu apokea taarifa ya nyongeza ya mishahara, kuiwasilisha kwa Rais ambaye ataitangaza hivi karibuni

    Nchi ngumu sana hii! Ukute watakuja na maigizo ya kuongeza ya % chini ya 70 kwa miaka saba.[emoji2]
  4. G

    Mpina aibukia Zanzibar kuchukua fomu kuwania Uspika, azuru kaburi la hayati Sheikh Abeid Amani Karume

    Serikali imekosa watu wa kuishauri na kuikosoa mpaka wafanye wabunge wa chama ki1.
  5. G

    Rais hapaswi kufanya kazi za kawaida za Rais akiwa nje ya nchi

    Tunatawaliwa na watalala ila hatuongozwi na viongozi.
  6. G

    TCRA: Ripoti utapeli kwenye namba 15040

    Ripoti tapeli kwa jambazi.
  7. G

    Mafunzo makuu matano kutoka utawala wa Hayati Magufuli

    6.Ukatili wa binadamu mwenye mamlaka huweza kufanya watu wengine anao waongoza kuwa na tabia ya kusifu na unafiki.
  8. G

    Utofauti wake na Watawala wengine Afrika au Duniani

    MZEE MANDELA'S WISDOM "Baada ya kuwa Rais, niliwataka baadhi ya walinzi wangu kwenda kutembea mjini. Baada ya kutembea, tulienda kula chakula cha mchana kwenye mgahawa. Tulikaa katika moja ya mgahawa ulio katikati ya mji na kila mmoja wetu aliagiza alichotaka. Baada ya kusubiri kidogo...
  9. G

    GE2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

    Pia amesema watanzania mwaka huu wafanye mabadiliko makubwa ya kiuongozi lakini akasahau kuwa mabadliko makubwa yako nje ya sisiem na sivinginevyo .Amehaidi pia kuongeza mishahara mara dufu kwa watumishi wakati anaendelea kujenga miundo mbinu yake.
  10. G

    GE2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

    Anatamani wapiga kura wa upinzani na wapinzani wake wafukuzwe Duniani.Siasa tamu aise hasa kama sio mhusika wake , unabaki kuenjoy 2.
  11. G

    GE2020 Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu katika mji wa Tunduma

    Kagera nilikuwepo watu wwmesombwa na maroli
  12. G

    GE2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

    Ngoja tuendelee kusubiri ukiwa mwaka unayoyoma,tutaskia na kujionea mengi mwaka huu.
Back
Top Bottom