Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu katika mji wa Tunduma

Ha ha ha ha ha si wale walioenda kumpa ukweli Bwashee kuwa hawampi kura au ipi tena hyo. Mkuu Tundu kasema ataenda kule kuongea nao ili baada ya oktoba 28 akawakombolee watu wao. Ni mwendo wa Mpela Mpela wala hakuna kutema mate wala kuchimba dawa
Lissu asipoua mtu mwaka huu basi hafi tena. Kuna mmoja kashasepa Lema alimuonya hakusikia.
 
Kwahiyo hao wanao wachanganya mpaka pressure zinawapanda wanasafirishwa na mafuso?

Ukiona wana cdm wamejaa sehemu jua wamekuja kwa hiari yao either kwa miguu au kwa baiskeli au kwa magari yao au kwa pikipiki.

Nyie hamfanyi mikutano mpaka muwatumie mafuso na maguta kuwakusanya watu kama mihogo.

Wasanii zaidi ya 200 kuwaimbia wananchi ili wavutike kuja kutazama kina ma free masons
Chadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??

Kuhusu wasanii wote tunajua kuwa wasanii wamekataa kufanya kazi na nyinyi matusi, kejeli, masimango ni jadi yenu.
 
Chadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??

Kuhusu wasanii wote tunajua kuwa wasanii wamekataa kufanya kazi na nyinyi matusi, kejeli, masimango ni jadi yenu.
✌✌✌forever.
 
Twende na Magufuli
139205815_15945588086961n.jpg
 
Nimepata maono Magufuli, Siro, Mkuu wa TBC, Mabeyo, Mkuu wa magereza, Mkuu wa TISS mwenyekiti wa NEC ndg Mahera na yule jamaa afisa nini sijui ambaye ni mweusi na sura mbaya kama breki ya jeneza wa tume mwakani kipindi Kama hiki watakuwa The Hague uholanzi kujibu tuhuma za genocide
Kama wasiposikiliza sauti ya Mungu kupitia Umma. Kabla hawajafika huko kuna mtu atapigwa na stroke kwanza
 
Chadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??

Kuhusu wasanii wote tunajua kuwa wasanii wamekataa kufanya kazi na nyinyi matusi, kejeli, masimango ni jadi yenu.
Endelea kuweweseka wakati wenzako ndiyo wanajiandaa kukabidhiwa nchi na sijui nyinyi waramba miguu mtajificha wapi, labda mtarudi kwenu Burundi
Screenshot_20200916-180816.jpg
 
Tundu Lissu wapeleke mchaka mchaka , wapeleke kikamanda mchaka mchaka
Maskini wale wazee wakijichnganya wanazorota wiki ijayo tu

Kila anapojitahidi anajikuta ameharibu tena.

Saaa hao waliokamatwa atawaachia?? Asipowaachia kitanuka kagera akiwaachia Lissu atachukua kombe. Yaani ni sintofahamu tupu.
 
Endelea kuweweseka wakati wenzako ndiyo wanajiandaa kukabidhiwa nchi na sijui nyinyi waramba miguu mtajificha wapi, labda mtarudi kwenu Burundi View attachment 1571577
Hahaha comrade huo upupu mmeshindwa hata kuleta picha tu ya kuzomewa maana video imewatoa jasho. Tena chadema mlivyo na kidomodomo ingekuwa ni kweli tungekoma leo video zingesambaa jukwaa zima.
Uzushi hautawapa kura. Ndo maana ule uzi wenu moderators wameufutilia mbali.
 
Acha story katika mambo serious. Hao wapiga kura wa CCM unaowaongelea ni hao wanazururishwa kwenye maroli? Unajiona wewe ndiyo bonge la mgunduzi kwamba hao siyo wapiga kura?
ccm inawapenda wanachama wake hawataki waangaike, nyie endeleeni kuamini kuwa wanaobebwa wanalazimishawa wakati nyie wenu hawana kadi,watunza kadi wengi ni wamama,wazee na watu waliostarabika hao ambao mnawaona wanajaa kwenye mikutano yenu ni wale wasio na kadi,vibaka,waliokata tamaa za maisha kwa bhangi na utapeli.
 
Back
Top Bottom