Lissu asipoua mtu mwaka huu basi hafi tena. Kuna mmoja kashasepa Lema alimuonya hakusikia.Ha ha ha ha ha si wale walioenda kumpa ukweli Bwashee kuwa hawampi kura au ipi tena hyo. Mkuu Tundu kasema ataenda kule kuongea nao ili baada ya oktoba 28 akawakombolee watu wao. Ni mwendo wa Mpela Mpela wala hakuna kutema mate wala kuchimba dawa