Recent content by Gerald Simon

  1. G

    Madereva wa daladala Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro wamesitisha kutoa huduma ya usafiri

    Unajua daladala walifika mahali wakajisahau, sasa wameona faida ya soko huru. Yaani mtu anawahi hospital na tayari kapakia level seat ila haondoi gari mpaka mshindiliwe, ukisema tuu utatukanwa. Huku koda mchafu mchafu. Sasa wamekuja bajaji wanalalamika. Ase SUMATRA waandikie barua za kuwataka...
  2. G

    Nukuu za mwalimu Nyerere

    Nakwambia UTII ukizidi unakuwa UOGA na Mara zote uoga huzaa unafiki na kujipendekeza. Sasa ninyi watumishi wa umma kwa wingi wenu kama mmeshindwa kupiga kura kuondoa viongozi dhalimu, bora mfe tu.
  3. G

    Orodha ya Wabunge wa CCM wanaotuhumiwa kuvuta rushwa kamati za Bunge

    Si ajabu mamlaka zikawasafisha hata bila kuchunguzwa
Back
Top Bottom