"tatizo ni kwamba wakaguzi wa shule wanakula viyoyozi maofisini lakini laiti wangekuwa wanapita kwenye shule za kata maarufa kama "saint kayumba" wasinge rudia tena kucheza game maofisini maana hali ni mbaya" na mbaya zaidi wanaoumia ni watoto wa mkulima kama mimi" walimu baada ya kutishiwa...
Wapendwa muangalie kwa umakini unaweza kujinyakulia wa jinsia yako,mamako,babako,babu au mjukuu wako,hebu itifaki ya umri izingatiwe! JF kwa kweli Nomaa!
Ukirudi nazo utamfundisha na mkeo ukisafiri awe anamtafuta wakutengeneza love bites,sa sijui ataishia hilo tu laa! Sikiliza kwa makini pia tangazo la tuko wangapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.