Recent content by Geoson

  1. G

    Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

    Jamani mwenye maelezo mazuri hii krismas ilitokana na nini maana kuna mkakanganyiko sana hapa kuhusu hii siku
  2. G

    Vodacom Tanzania ni wezi

    Vodacom ni wezi sana, mwezi uliopita nilikua na uhuru package sh,20,000 kwa bahati mbaya nikawasha data upande wa voda japo sikua na bando la voda jamaa wakaanza kutumia salio langu ambalo halikua linahusiana na bando kabisa nikawapigia cm.wajaniambia siku hizi hata usipojiunga bando kama...
Back
Top Bottom