Recent content by george lucian

  1. george lucian

    Maombi ya ualimu msingi huwa ni mwezi wa ngapi?

    Ivi maombi hayo yanafanyika NACTE? Au unatuma wapi?????? Msaada plz
  2. george lucian

    Naomba msaada wana JF; Nimejisajili TIA ila pia nimepata Mzumbe, je naweza kwenda?

    Kama kichwa cha mada kinavyo jieleza ninaomba msaada wa mawazo kwa mwenye ufahamu nilichaguliwa TIA kwenye bachelor of accounting and finance nikaenda kufanya usajili nikapewa na namba ya usajiri lakin juzi nikapigiwa na chuo kikuu cha MZUMBE faculty kama ya chuo cha TIA. Sasa nataka kwenda...
  3. george lucian

    Je kuna mkopo awamu ya tatu? Na inatoka lini?

    Hizi nifununu tu akuna ukwel wowote tusubiri iyo batch ya tatu ndio ukwel utajulikana
  4. george lucian

    HESLB waachia majina 11,481 ya wanafunzi waliopata mkopo awamu ya pili 2017/18

    Na Mimi ndio nashangaa status haijabadilika chochote
  5. george lucian

    Msaada kwa ambae aliye na JOINING INSTRUCTION ya TIA

    Sizioni mkuu...nataka kujua tarh wanayoanza registration lini????
  6. george lucian

    Msaada kwa ambae aliye na JOINING INSTRUCTION ya TIA

    Jamani msaada wana jf kwa ambae anayo joining instruction ya chuo cha TIA ya dar, maana kuna kijana wangu kachaguliwa hapo. Anasema akiingia kwenye website yao wanamletea ya mwaka Jana. Nitangulize shukurani kwenu wana jf.
  7. george lucian

    Siku 6 zimebaki kieleweke selection za vyuo vikuu 2017/2018

    Kwel kabisa....kumbuka hujichagui mwenyew...tusubili j3 ndio tujipe izo course
  8. george lucian

    Wanafunzi zaidi ya 31000 kukosa mikopo ya elimu ya juu 2017/2018

    Du hii nchi tutafika kweli kwa mambo kama haya
Back
Top Bottom