Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Kassim Majaliwa Majaliwa amewapelekea salamu mahususi kutoka kwa Mh Rais,Mama Samia Suluhu Hassan,MADEREVA wote wa Serikali Nchini kwa KAZI nzuri wanayofanya katika kusukuma Maendeleo ya Taifa!
Waziri Mkuu Majaliwa pia alibeba Salamu mahususi za...
Sasa unadhani Chemba ni DSM au Kyela?
Rural development is a process Bado Kuna watoto wa wafugaji wanafika darasa la Saba hawajui kusoma na kuandika sababu ni kwamba Leo anaenda Shule wiki haendi
Kwani Haujui kwamba Samia Suluhu Hassan Bado ni Rais wa JMT na ndiye Amiri Jeshi Mkuu?
Jeshi lazima limpe Ulinzi Hasa nyakati hizi ambazo Mh Rais yupo katikati ya watu wengi(Mass)
Mnalaumu vitu hata havina kichwa hata mguu!
Kamanda wa zamani wa Jeshi la Magereza Tanzania,Mfanyabiashara na Kada wa Chama cha Mapinduzi Mh Baraka Mwamengo leo "anatinga" RASMI kuchukua fomu ya kuomba Uteuzi wa kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya,Ofisi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ziizopo Ofisi za Halmashauri ya Wilaya...
The Facts About Dar -Bujumbura SGR Cross-Border Mega Project Line!
I.It is expected to be a Direct-fastest SGR Railway line ever seen in East African Block(EAC).
II.President Ndayishime of Burundi and Prime Minister Majaliwa of TANZANIA register another tie between the Countries!
III.The...
Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilayani Chunya,Mh MASACHE Njelu Kasaka amewashukuru Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Lupa-Chunya Mkoani Mbeya kwa kuendelea kumuamini yeye pamoja na Chama cha Mapinduzi na kumpa ushindi wa kura 5,569 kati ya kura 10,691 halali zilizohesabiwa hapo juzi!
Mh MASACHE...
Nyota inawaka upande wa Kijana Mdogo na Mjasiliamali katika mbio za Ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini na ni kama Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Tunduru Kaskazini WAMEAMUA kwa kauli moja kumpa kura kijana huyo mdogo lakini mwenye MAONO makubwa hapo kesho!
Kwa mujibu wa UTAFITI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.