Wewe ndie punga mke wa Sean Paul, mtu na akili zako utumie jina la mwanaume mwenzio itakua wanakukanda wewe sio bule, unashindwa hata kujikubali , kama wewe unamfagilia mwanaume mwenzio, je mkeo afanyaje
... [emoji408] 𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗞𝗜𝗗𝗢𝗚𝗢
Bado kidogo Yanga SC waivunje rekodi yao wenyewe ya kutwaa Ubingwa mara (3+) mfululizo katika awamu (4) tofauti.
Tangu ligi kuu Tanzania bara ianzishwe, Yanga SC ndio klabu pekee ambayo imewahi kuchukua ubingwa wa ligi kuu mara (3+) mfululizo katika awamu (4)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.