Nadhani vyama vya upinzani vimefanya makosa kushiriki katika uchaguzi huu. Kwa hali hii hakuna uwezekano wa kupata ushindi hata chembe. Tuendelee kuvuta subira mpaka Mungu atakapotuonea huruma na kuleta demokrasia Tanzania
we Mr. Chin ni Nape nini.
Hata hivyo maudhurio ya watu si issue...na uelewe 65% ya watu hao wanamsikiliza Diamond Platinums na wanawapigia UKAWA. Shauri yako
Aibu gani...kusema ukweli...ndo ujasili..kwanza ameibuka kisiasa kuliko alipokuwa CCM. Sasa hivi nyota yake ipo juu hata kuliko Pinda anaeenda shamba sasa.
Mfa maji haachi kutapatapa....maskini Pombe hadi namuonea huruma....jamaa wamemtosa ana fight kivyake....hadi na kuanza kucopy na kupaste kwa kubadirisha visivyobadirika
Wewe post tu Mr. Chin hapa si mahali pa blablaa. Utakuja juta unafanya ukidhani unawapotosha wasomi kumbe we ndo unaonekana lofa. Peleka post zako kwa michuzi
@ uaminifukazi ...umetokea wapi wewe...au papet wa ccm...mie si mpenzi wa chama chochote...ninachomaanisha ni mabadiriko kifikra...kama wakenya wanavyoexcel...kwa kuichomoa kanu...kwani elimu ya mtu unaijuaje hapa jf..kwa kuangalia jina...avatar au ???? Anyway..karibu kwenye jukwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.