Recent content by geophysics

  1. G

    Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge majimbo ya Kinondoni na Siha, Udiwani Kata 8: CCM yanyakua majimbo yote!

    Nadhani vyama vya upinzani vimefanya makosa kushiriki katika uchaguzi huu. Kwa hali hii hakuna uwezekano wa kupata ushindi hata chembe. Tuendelee kuvuta subira mpaka Mungu atakapotuonea huruma na kuleta demokrasia Tanzania
  2. G

    Hali sasa ni tete kwa Lowassa, atengeneza mafuriko bandia baada ya Mh. Magufuli kuilipua Arusha

    Kaka kama hujui Mr. Chini ni Nape Nauye.....kwa taarifa yak. Ido mpiga debe wa kwanza humu.....Kwani ulitegemea Nape ataje marina yace tapa?
  3. G

    UKAWA Bai Bai, ndio habari ya Mjini

    we Mr. Chin ni Nape nini. Hata hivyo maudhurio ya watu si issue...na uelewe 65% ya watu hao wanamsikiliza Diamond Platinums na wanawapigia UKAWA. Shauri yako
  4. G

    Huyu jamaa hana chama, Lowassa asiposhinda itakuwaje?

    Aibu gani...kusema ukweli...ndo ujasili..kwanza ameibuka kisiasa kuliko alipokuwa CCM. Sasa hivi nyota yake ipo juu hata kuliko Pinda anaeenda shamba sasa.
  5. G

    Mtafiti wa TADIP

    Tafiti mwaka huu lol...tutaziona nyingi tena ni afadhali ziendelee kutoka kabla ya tarehe ya mwisho....mwezi ujao 25
  6. G

    Wendawazimu ni kutenda kinyume na kawaida

    Mwendawazimu ni wewe usiyeweza tambua kuwa watoto wanaweza fanya jambo ambalo alifikiriki na kumuona mtoto alivaa hivyo kuwa ni mwenda wazimu.
  7. G

    Magufuli Huyoo!

    Zote ni Made in China na sio Original.... Kila la Kheri
  8. G

    Katuni inayosema mambo

    Mfa maji haachi kutapatapa....maskini Pombe hadi namuonea huruma....jamaa wamemtosa ana fight kivyake....hadi na kuanza kucopy na kupaste kwa kubadirisha visivyobadirika
  9. G

    CHADEMA chali

    Wewe post tu Mr. Chin hapa si mahali pa blablaa. Utakuja juta unafanya ukidhani unawapotosha wasomi kumbe we ndo unaonekana lofa. Peleka post zako kwa michuzi
  10. G

    Huyu dada kakatwa?

    mtalia sana ccm
  11. G

    Mtoto ndio huyu leo kapatikana, Bado babu yake Sasa

    Picha hii inaweza kufanya uogope kwenda msituni au mbugani
  12. G

    Sijui nani kamuiga nani hapa

    Ccm wamewaiga pimbi
  13. G

    Spotted:Mama Tibaijuka Akiwa Pekupeku Jimboni

    Anaenda kwa mganga huyo...kama utakuwa umeona picha nyingine alipokaa ktk kibanda kuna kitambaa (shuka) jekundu.....something wrong here...
  14. G

    Dada anaonyesha kipaji

    @ uaminifukazi ...umetokea wapi wewe...au papet wa ccm...mie si mpenzi wa chama chochote...ninachomaanisha ni mabadiriko kifikra...kama wakenya wanavyoexcel...kwa kuichomoa kanu...kwani elimu ya mtu unaijuaje hapa jf..kwa kuangalia jina...avatar au ???? Anyway..karibu kwenye jukwaa
  15. G

    Hii ni Tanzania tu hakuna sehemu nyingine katika Afrika mashariki.....

    kaka usibishe saana omba uone guta zinatoka kiwanda cha magodoro mwenge kama unaelekea cocacola hutakaa uamini....mzigo wa kubebwa na canter
Back
Top Bottom