Recent content by geomaipa

  1. G

    Binadamu waanza kuishtukia Apple, lakini wameshachelewa!

    Apple hawajapata hasara,ila faida imepungua kwa mara ya kwanza toka 2003,
  2. G

    Help: Fixed deposit Vs ununuaji Hisa

    Mimi nina elimu ya financial planning na kwa ushauri wangu weka 2/3 ya pesa zako UTT,1/3 ya pesa zako weka fixed deposit,tafuta benki zenye rate kubwa kuliko zote,usiweke pesa zako zote sehemu moja hata kama kuna return kubwa kiasi gani
  3. G

    Wauza mafuta Tanzania wanatengeneza faida za ajabu

    hata kama ni ghafi,lazima kuwe na uwiano mwisho wa siku,we jiulize mafuta ghafi yangepanda kwa asilimia 75 bei ingekuwa sh ngap saivi?
  4. G

    Wauza mafuta Tanzania wanatengeneza faida za ajabu

    takribani mwaka mmoja toka leo bei ya mafuta kwa pipa moja katika soko la kimataifa lilikuwa zaidi ya $120. leo hii bei ya pipa moja la mafuta ni chini ya $36. mara ya mwisho bei ilikuwa chini hivi miaka 11 iliyopita. ndani ya mwaka mmoja bei ya mafuta imeshuka kwa asilimia 75. kipindi bei ya...
Back
Top Bottom