Mimi nina elimu ya financial planning na kwa ushauri wangu weka 2/3 ya pesa zako UTT,1/3 ya pesa zako weka fixed deposit,tafuta benki zenye rate kubwa kuliko zote,usiweke pesa zako zote sehemu moja hata kama kuna return kubwa kiasi gani
takribani mwaka mmoja toka leo bei ya mafuta kwa pipa moja katika soko la kimataifa lilikuwa zaidi ya $120. leo hii bei ya pipa moja la mafuta ni chini ya $36. mara ya mwisho bei ilikuwa chini hivi miaka 11 iliyopita. ndani ya mwaka mmoja bei ya mafuta imeshuka kwa asilimia 75. kipindi bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.