Tanzania ni nchi yenye wasomi wengi sana wenye maarifa ya hali ya juu,uwezo mkubwa katika proffesional zao na vyeti ambavyo vina watambulisha kuwa wamefuzu katika fani zao walizo somea kama Ualimu , Afya na nyenginezo.
Ila mbaya zaidi wasomi hao wengi wana maisha ya chini sana na wengi wao...
Employer: Wakala wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT)
Job Post: TUTOR GRADE II (ENGLISH LANGUAGE
Employer: Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)
Job Post: CURRICULUM DEVELOPER II (FINE ART SUBJECT)
Habri Aliye wahi kuomba Tutor grade ii of english for NTA level 6 pale ajira PORTAL au curriculum developer ii pale TIE kupitia ajira PORTAL Naomba anisaidie nondo na jinsi maswali yanavyo toka au kama ana maswali na notes zilizopita naomba ani save 🙏
Anaye mfahamu Neva Joel na Gabriel mwaipu
Tamisemi ni nani maana Dah kwenye harakati za kupambana imekutana nao facebook neva Joel kanipa namba ya Gabriel mwaipu ...na wame jiandika wako TAMISEMI ...sasa Gabriel anataka nitume pesa je nikwel wapo wanaweza nisaidia au napigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.