Recent content by geofreybenaldo

  1. G

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Subirin 2020 alshababu cyo mbali ugaid unaanzaga taratibu dhuluma mbaya sana
  2. G

    GE2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

    Anayekuja naye asipokuwa makin naye atakuja kupata aibu kama ya kikwete wtz tulitaka rasimu ya wrioba wakakataa wakaleta rasimu ya ccm wzbr wametuonyesha nia yao kubwa ni nni ndo mana shein kakomeshwa kwa sababu ya kuti kusikia wzbr
  3. G

    Mbeya - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Zamb kashinda jaman wana mmbeya au kapigwa kama chin kama chiza
  4. G

    Viongozi wakuu wa UKAWA kuongea na Waandishi, baada ya kutoka Mahakamani

    Ccm ni ina wenyewe nyie subirin koo za kutawla na koo za kutawalia ziendelee kuandama nch hii ipo cku mtajuwaaana halisi ya uchaguz
  5. G

    Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

    Ccm wemepata shida sana wkt wa kampen kwa sababu ya huyu fisad hakika huyu MTU siyo wa kumchezea ktk siasa ni hatari hata Dr wilbrod silaa angegombea ccm na yeye ccm bado uwezekano wa kuanguka Dr ulikuwepo kutokana na nguvu yake huyu mtu
  6. G

    Januari Makamba: Magufuli kutangazwa Rais tarehe 29 oktoba 2015

    Baba ako mwenyewe hicho chama kilimshinda JM we umekomaa acha kujichanganya
Back
Top Bottom