Kwa anaye elewa hii option ya one cut naomba ufafanuzi tafadhali. Kabla sijaweka hiyo option winning amount ilikua 42k, baada ya kuweka ikashushwa mpaka 38k mkeka umetembea nimepewa 900. Hii imekaaje?
Wakuu mwenye hizi nyimbo kwenye library yake anisaidie tafadhali:
1. Tid - Sauti ya dhahabu
2. Ney - Mitego
3. ??( nimemsahau msanii na wimbo) kiitikio kimeimbwa
"Shani wangu nakupendaaa ooh mi nakupendaaa,
Shida nilizozipata anajua ye mwenyeeeziiii..x3"
Nawasilisha
Tusiwe watu wa kupinga kila kitu, hi ishu ipo na ipo kweli hata hao wazungu wenyewe wanatengeneza mpaka filamu za treasure hunting. Binafsi nimepata kusimuliwa na babu yangu kabisa habari kuwepo kwa hayo mapango ya hazina kwa maana alipatapo kuajiriwa na hao wajerumani kwenye miradi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.