Recent content by Genuine raf

  1. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee hongera Sana mkuu,hii ni bonge la suprise
  2. G

    Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

    Kuwa makini na ushauri unaopokea unaangukia pua Sasa hivi🤣,anaekupa ushauri unakuta yupo kwake muda huu anapapasa kijacho wake,au ameamshwa saa nane usiku akatafute tikiti na ameenda,..mjitahidi sana kusoma majarida yanayohusu uzazi na ujauzito.hata wanaume yanatusaidia sana kuishi na wake zetu...
  3. G

    Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

    Sahihi,anataka make wake awe kama wajawazito anao waonanhuko,mimba hazifanani bro..kulinganisha ni kosa kubwa mnoo..inaonekana Bado mchanga kwenye ndoa..miaka ya mbeleni ukishapata uzoefu ukiurudia huu Uzi utajicheka sana..kwa lipo hapo la kumrudisha make wako kwao hahahaa akichepuka siku si...
  4. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana mwifwa na cves kwa kuvutiwa waya,msitukimbie humu jamani, mkuu Ahmet usichoke endelea kuvuta subra soon utaingia mzigoni Bado hatua kidogo tu
  5. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yani Kila safari ni under pressure ila angalau presha sio kubwa kama ya kusubiri placement
  6. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Niko busy broo acha tupambane tutaleta shuhuda hapa
  7. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daaah siku online hizi siku 2,naingia website naona placement za NAOT nimekuja mbio huku japo nna muda finyu kuja kuuliza taarifa zako,aisee nimekutana na habari njema sana mwifwa..umeupiga mwingi broo and and am happy for you..Sina shaka kwamba utakua mtumishi mwema kabisa.once again hongera...
  8. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huu Uzi mtamu broo kuachia kiurahisi sio mchezo🤣
  9. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tuliosoma Cuba tumeshaelewa,huu ni ujio mpya wa wizy ila content ni ileile🤣
  10. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Endelea kuagiza beer usije ukalia,wizy alikimbia huku
  11. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu umeshàanza kupiga kazi?
  12. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nipo mkuu!hizi wiki mbili nimebanika mahali nasaka tonge.huku nachungulia tu nalike natoka ila tuko pamoja sanaaaa mpaka kieleweke
Back
Top Bottom