Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, Simon Chibuga Masondole, amesema baadhi ya vijana nchini wameingia katika tabia ya kuiba katika maeneo ya kazi, hali ambayo imeanza kugeuka kuwa utamaduni katika jamii.
Askofu Masondole ametoa kauli hiyo wakati wa homilia ya Ibada ya Misa Takatifu iliyofanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.