Recent content by GENTAMYCINE

  1. GENTAMYCINE

    Furaha Dominic, Mpwa wa Hayati Magufuli apandishwa Kizimbani kwa kusambaza Picha za Ngono

    Hapo ni sawa na Kuuliza Mwaisela na Kibasila zote ziko Muhimbli?
  2. GENTAMYCINE

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Asante kwa huu Ushauri wako Mkuu.
  3. GENTAMYCINE

    Kukamatwa kwa Furaha Dominick ni rasmi kuwa Vita ya Kuchafuana kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 ndani ya CCM imeanza rasmi

    Alikuwa akiwaepusha Wauza Dawa za Kulevya ama wasipimwe na Kiwango cha Cocaine walichokamatwa nacho au Yeye Kuwatetea Wauza Dawa za Kulevya hasa pale OfisinI Kwake alikokuwepo ( Maabara ) na kapewa ( kala ) Fedha nyingi za Drugs Baron nchini Tanzania. Niendelee au niishie hapa Kudadadeki?
  4. GENTAMYCINE

    Naomba kujua hali ya Eneo la Kawe Mji Mpya na kule Mtoni kwa Mama Kessy kupoje baada ya Mafuriko haya Makubwa

    Nasikia hali huko ni ya Kutia Huruma kabisa na sijui kama kile Chumba cha Demu wangu Baa Medi Jambo Lee kimepona.
  5. GENTAMYCINE

    Kukamatwa kwa Furaha Dominick ni rasmi kuwa Vita ya Kuchafuana kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 ndani ya CCM imeanza rasmi

    Furaha Dominick angesikia Ushauri wa Watu wanajua mambo mengi wala haya yote yasingemkuta. Kayataka Mwenyewe.
  6. GENTAMYCINE

    Ewe Mwenyezi Mungu hujawahi Kuacha Kusikia na Kutendea Kazi Maombi yangu basi na leo tena hili Ombi langu Ulikubali na litokee kama nitakavyo

    "Ewe Baba Mwenyezi Mungu naomba fanya kila uwezalo Klabu yangu ya Simba SC isiishie kabisa katika Nafasi ya Tatu bali ishie nafasi ya ama ya Tano au ya Saba ili sasa Sisi Mashabiki na Wanachama Kwanza tuanze Kupigana wenyewe kwa wenyewe kisha Hasira zetu tuzihamishie kwa Viongozi wetu na baadae...
  7. GENTAMYCINE

    Waziri Mbarawa: Treni yetu ya SGR haiwezi kwenda Spidi 160 kwa Saa, tunaenda kwa Awamu

    Kwahiyo iitwe Treni ya Mwendokasi au tuiite Treni ya Mwendokasi Kiasi?
  8. GENTAMYCINE

    Waziri Mbarawa: Treni yetu ya SGR haiwezi kwenda Spidi 160 kwa Saa, tunaenda kwa Awamu

    Nikimaliza Kukuweka ( Kukupigisha Miluzi ) ndiyo nitaanza.
  9. GENTAMYCINE

    Waziri Mbarawa: Treni yetu ya SGR haiwezi kwenda Spidi 160 kwa Saa, tunaenda kwa Awamu

    Serikali ipi labda ya hapa nchini Uganda nilipo sasa au ile ya Nyumbani Kwetu kule Nchini Rwanda kwa Mwamba Kagame?
  10. GENTAMYCINE

    Kukamatwa kwa Furaha Dominick ni rasmi kuwa Vita ya Kuchafuana kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 ndani ya CCM imeanza rasmi

    Tokea niwe Nakukaza vyema umekuwa Ukinipenda sana na safari ijayo sasa nataka Nikupigishe sana Miluzi hadi Ukome.
Back
Top Bottom