Alikuwa akiwaepusha Wauza Dawa za Kulevya ama wasipimwe na Kiwango cha Cocaine walichokamatwa nacho au Yeye Kuwatetea Wauza Dawa za Kulevya hasa pale OfisinI Kwake alikokuwepo ( Maabara ) na kapewa ( kala ) Fedha nyingi za Drugs Baron nchini Tanzania. Niendelee au niishie hapa Kudadadeki?
"Ewe Baba Mwenyezi Mungu naomba fanya kila uwezalo Klabu yangu ya Simba SC isiishie kabisa katika Nafasi ya Tatu bali ishie nafasi ya ama ya Tano au ya Saba ili sasa Sisi Mashabiki na Wanachama Kwanza tuanze Kupigana wenyewe kwa wenyewe kisha Hasira zetu tuzihamishie kwa Viongozi wetu na baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.