Recent content by GENTAMYCINE

  1. GENTAMYCINE

    Ridhiwani, January na Mwigulu nadhani huu Ujumbe wenu kutoka kwa Waziri Makonda mtakuwa mmeuelewa vyema kabisa

    Kwahiyo Mtani wangu kutoka Mkoa wa Washamba wa Singida Waziri Mkuu Nchemba hapa ulikuwa hujui kuwa Mmoja wa aliokuwa akiwasema Waziri Makonda nawe umo?
  2. GENTAMYCINE

    Ukiisikia kauli hii kutoka kwa Mwanamke jua amesharudiana nae au soon atarudiana nae na pia anakubali sana 'Shoo' ya Mwanaume husika Kitandani

    Dada wa msanii Alikiba, Zabibu Kiba ameweka wazi kuwa Ex-Husband wake (Abdi Banda) ni baba bora sana kwa mwanae kwani amekuwa na mchango mkubwa sana kwenye malezi ya mtoto wao. "Sina ugomvi wowote na Abdi ni mtu ambaye tunawasiliana sana, Hatukuachana kwa ugomvi pia tuna mtoto, Napenda sana...
  3. GENTAMYCINE

    Uchaguzi wa Jimbo la Isimani ni lini kwani nataka Kugombea safari hii kwani nina uhakika wa Kushinda 100% japo natokea Mkoa wa Mara

    Ukiwa Ndumilakuwili mno katika Maslahi halafu ukiwa Fisadi na Dhulumati lazima tu Mapigo ya Moyo yatashtua Mwili.
  4. GENTAMYCINE

    Wanaume wa Iringa ni kweli kuwa hamjui Kutongoza? Wanawake mkipenda Bia za bure iwe isiwe 'tutawananiliu' kote kote tu hadi mkome

    Halafu mwenye namba ya Simu ya huyu Ndata (Polisi) tafadhali naomba anitumie PM kwani ongea yake tu inashawishi 'Kumnaniliu' na anaonekana ni Mtamu hakuna mfano. Haya Mashemeji zangu wa zamani Wanaume wa Mkoa wa Iringa hebu njooni hapa mlithibitishe au mlipinge hili. Nashukuru sana mpaka leo...
  5. GENTAMYCINE

    Kuna Maudhui Mengine kwenye Social Media yanapaswa kuzuiwa Tanzania

    Mkuu huyu mbona anaonekana kabisa kuwa ni tayari ni ameshakuwa Kisu cha Mkunjo?
  6. GENTAMYCINE

    Kwa anachokifanya Israel dihidi ya maadui zake ni dhahiri kuwa yeye ndo bingwa wa 'Intelligence' duniani

    Mkuu mbona kama vile una Kisununu / Hasira? au Wewe ni Mvaa Kobazi una Hasira na Myahudi anavyomnyoosha Iran?
  7. GENTAMYCINE

    Napitia kipindi kigumu sana, naomba msaada wenu wana JamiiForums

    Kutwa huwa nawaambieni hapa kuweni 'Vitombi Pro Max' kama Mimi GENTAMYCINE hamtapata Stress za Mademu wenu hamsikii. Na Wewe hata tu kwa huu Uandishi wako hapa unaonyesha ni Mwanaume / Kijana Brazameni / Bishoo sana, Hujiamini, Bwege na Nyali (Muoga) hivyo nasapoti 100% Kubanduliwa huko aliko.
  8. GENTAMYCINE

    Hivi kwanini siku hizi mama yake Polepole hamtafuti au kumuulizia tena mwanae kwa matamko ya hasira?

    Samahanini nauliza tu kwa nia njema hivi Mama yake Humphery Polepole mbona siku hizi hamtafuti / hamuulizii tena Mwanae kwa Matamko yake ya Hasira? Na kama labda ameshampata Mwanae na yupo nae Kwake mbona sasa hajatuambia tuliokuwa tunamuonea Huruma? Nasubiri majibu yenu tafadhali.
  9. GENTAMYCINE

    Kwa anachokifanya Israel dihidi ya maadui zake ni dhahiri kuwa yeye ndo bingwa wa 'Intelligence' duniani

    Wangapi tunakubaliana sasa kuwa kwa anachokifanya Israel hasa Kimashambulizi dhidi ya Maadui zake wao ndiyo Mabingwa wa 'Intelligence' duniani? Na wanachonifurahisha zaidi ni kwamba Mashambulizi yao yote yana Target halafu huwa wanayapangilia Kiuhodari kabisa baada ya Kujihakikisha pasi na...
  10. GENTAMYCINE

    Hedhi alienda tarehe 18 Februari, mpaka sasa hajaenda tena. Je, huenda ana ujauzito?

    Mara yako ya mwisho 'Kumt****' ilikuwa lini?
  11. GENTAMYCINE

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Mkuu kwanini unahangaika sana Kumuelimisha huyo Certified Fool (Bumunda) hapa Jamvini?
Back
Top Bottom