Kwahiyo Mtani wangu kutoka Mkoa wa Washamba wa Singida Waziri Mkuu Nchemba hapa ulikuwa hujui kuwa Mmoja wa aliokuwa akiwasema Waziri Makonda nawe umo?
Dada wa msanii Alikiba, Zabibu Kiba ameweka wazi kuwa Ex-Husband wake (Abdi Banda) ni baba bora sana kwa mwanae kwani amekuwa na mchango mkubwa sana kwenye malezi ya mtoto wao.
"Sina ugomvi wowote na Abdi ni mtu ambaye tunawasiliana sana, Hatukuachana kwa ugomvi pia tuna mtoto, Napenda sana...
Halafu mwenye namba ya Simu ya huyu Ndata (Polisi) tafadhali naomba anitumie PM kwani ongea yake tu inashawishi 'Kumnaniliu' na anaonekana ni Mtamu hakuna mfano.
Haya Mashemeji zangu wa zamani Wanaume wa Mkoa wa Iringa hebu njooni hapa mlithibitishe au mlipinge hili.
Nashukuru sana mpaka leo...
Kutwa huwa nawaambieni hapa kuweni 'Vitombi Pro Max' kama Mimi GENTAMYCINE hamtapata Stress za Mademu wenu hamsikii. Na Wewe hata tu kwa huu Uandishi wako hapa unaonyesha ni Mwanaume / Kijana Brazameni / Bishoo sana, Hujiamini, Bwege na Nyali (Muoga) hivyo nasapoti 100% Kubanduliwa huko aliko.
Samahanini nauliza tu kwa nia njema hivi Mama yake Humphery Polepole mbona siku hizi hamtafuti / hamuulizii tena Mwanae kwa Matamko yake ya Hasira?
Na kama labda ameshampata Mwanae na yupo nae Kwake mbona sasa hajatuambia tuliokuwa tunamuonea Huruma?
Nasubiri majibu yenu tafadhali.
Wangapi tunakubaliana sasa kuwa kwa anachokifanya Israel hasa Kimashambulizi dhidi ya Maadui zake wao ndiyo Mabingwa wa 'Intelligence' duniani?
Na wanachonifurahisha zaidi ni kwamba Mashambulizi yao yote yana Target halafu huwa wanayapangilia Kiuhodari kabisa baada ya Kujihakikisha pasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.